Nawasikitikia sana wadanganyika.
Hapa ni hivi ..you either challenge the system au you support the system.
Kwa kifupi system nzima ya utawala imeoza, kuanzia muundo wenyewe, miundombinu yake na watendaji kwa ujumla wao. Hivyo kama wameuza (niko skeptical bado na ishu ya kuuza, maana nijuavyo waTz tunakodishwa ardhi na serikali kwa kipindi maalum-hamna anayemiliki ardhi Tz zaidi ya Jamhuri) hilo eneo bila kufuata utaratibu..ni nani wa ku-crosscheck?? system haina hiyo taratibu.
Suala la EIA, nani wa ku-crosscheck.?? hamna
Suala la kupasiana pesa haram ya kampeni..Nani wa ku-crosscheck??hamna
The list continues..Kwa hiyo huwezi kupinga dalili ya ubovu wa system badala ya kuipinga system yenyewe. Huo utakuwa ukichaa.
Kwa hio bana, nionavyo mimi humu ndani kila siku tutakuwa tunapiga kelele tuuuuuuu, lakini solution tunaijua. Lazima tubadilishe mfumo wetu wa kujitawala. Kuendelea na system ya sasa hivi tusitegmee kuvuna madafu kwa kupanda chelewa.
Abduhalim:
I could not agree more with you!
Watanzania tunaangalia tulipodondokea, badala ya kuangalia tulipojikwaa!
Kwa sasa tunapiga kelele kupinga Tanzania kuwemo kwenye EAC, lakini Rais wetu kasaini mkataba wa kufungua mipaka ya Tanzania, na wabunge wakiidhinisha; Julai 01 2010 joto ya jiwe itakapoanza, ndipo tupige kelele kwenye forum!
Afadhali hapo Masaki wamechukua open-space! Siku hizi watu wanaondolewa kwenye nyumba zao, mradi tu ardhi yao ina thamani kuliko wao!
The dogs have taken it!This is really disheartening. So sad. No decency at all? Most of Dar-es Salaam is already an eyesore. Now even the little remaining paradise is being raped!
I wonder if the late Mwalimu had any inkling of the pervasiveness of the dogs within when, in 1995, he joined the CCM campaign trail prompted by the fear of letting the country go to the dogs.
Muoneee huruma huyo. Hujasoma ile topic ya Mwanakijiji? "----Wepesi wepesi!!"Sikujua wewe ni mtetezi wa wahindi wa bongo! Je wanakushirikisha wanaponunua majumba london kwa hela za walipa kodi za bongo...i would think twice abt siding with any of them, ajira aint shit to how much money these guys stash abroad!
Yeeeh nazipta vizuri kweli....very clear hakuna chenga kabisa aiseee!
Hivi what should be done to stop this? je, ni kupiga kelele na how? na je, who approved this? na kwa manufaa ya nani?
Mwenzenu nilishaona kulalamika hakunipi faida...hivyo dawa ni kwenda nao sambasamba...vikiuzwa na mimi nanunua. Nikiwa sina hela najipanga sehemu nyingine.
Arthi yetu ndio hii hii...tunabanana hivyo hivyo.
YY
halafu tunasema JK mbaya kumbe watangulizi wake ndo nyoka akina mzee ruksa na mkapa. Mfano hata yanayotokea Loliondo waarabu kujitwalia eneo na kuweka mtandao wao yote hayo chanzo ni mzee ruksa.
Juzi mimi na familia yangu tulipita sehemu zile tukaona pamesafishwa natukaanza kubishana kuhusu kitu kilichokuwa kinaendelea pale; mimi nikalaumu kuwa walikuwa wanaharibu mandhali ya sehemu ile kwa kukata miti na vichaka lakini wenzangu wakaamini kuwa city walikuwanafanya usafi!! Wajanja kumbe walikwishajigawia fukwe!! Ingawa inasemekana kuwa haya madudu yalifanyika enzi ya awamu ya pili ya Mzee Ruksa ,[ nakumbuka Mkapa aliahidi wakati wa kampeni yake kuwa angevifuta viwanja vya Golden Tulip, lakini alipoingia madarakani Ladwa akampoza!!], Kikwete anamamlaka ya kuweza kutengua maamuzi yaliyofanywa na waliomtangulia kama yanaathiri ustawi wa jamii; kama serikali imeweza kurudisha mgodi wa Kiwira sembuse hivi viwanja vya pwani!! It will be to Kikwete's credit if he will revoke the titles of all the beach plots that have not been developed ili wananchi na vizazi vijavyo viweze kufaidi urithi wao. Time is the essence, the sooner he acts the better!!
...Itatusikisha adabu bila shaka. Kuwalaumu wahindi ni upuuzi. Lini tumekuwa na Rais au waziri mkuu mhindi? Mhindi gani aliwai kuwa waziri wa ardhi? Au mkurugenzi wa mipango miji ( au whatever)? Au huko NEMC kuna wahindi wangapi? Ni sisi ndiyo tunaostahili lawama na laana zote zitakazotokana na ulafi wetu. Badala ya kunyooseana vidole tushirikiane sote bila kujali tofauti zetu kupambana na kile alichokiita Abdulalim System! Uovu huu unabidi uzuiwe, period. Ni lazima tufike mahali tuone aibu.
Amandla.......
Nilishaamua kuacha whisky lakini kwa uchimvi huo inabidi nikatafute supu ya mawe namba wani kabisa.Ubaya wa hizi internet new forms of media kama JF ni kwamba hakuna uwajibikaji wa kiasi kinachotakiwa kwajili ya uandishi wa habari ulio ethical and objectivity is non-existent. Ulianzisha thread umekuwa kama Michael Moore, mwishoe no one will take you seriously. Hizi plot ziko chini ya Manispaa na wao wametoa lease kwa watu watakao wekeza kwenye non-permanent forms za businesses on the front, after EIA zikifanyika ili kujua jinsi yakucontrol pollution of the area. Watajenga non-permanent features za kimakuti makuti... sio on a sea cliff level tho. The aim is to provide entertainment ya drive in cinema na food areas na vitu kama hivyo kwaajili ya watu kuenjoy ufukwe. Sijui kama utekelezaji utakuwa kama ilivyosemwa, perhaps not, lakini naomba tuwe objective. This is very low objectivity, kama tupo Venezuela bwana au Saddam's Iraq.lol
Najua of course this area wahindi wamemezea mate muda mrefu, ni hawa wahindi wa cinemax wamepewa amongst a few others as far as I know. Najua lazima rushwa imetembea lakini kuna employment itatokana na haya. The only major thing is that, mazingira yasiharibiwe thats all. That area kunavibaka, ni mtaa yetu wengine tunapajua vizuri. Bora watu wapate ajira bwana. Kwani kitu gani.