Siwez sema ndio au hapana kwasababu unaweza ukaaanzisha mausiano kweny mitandao na mtu ambae bdae ukafika nae mbali ki maendeleo na mkaoana na mkafanya maisha
2: naweza sema hapana kwa sababh hizi unaweza anzisha mahusiano kweny mitandao ukapata mtu ambae haelewek yan sio mkwel ni mchezeaji akakuteka akakulaghai ikafika atua mkaaachana na kutoleana maneno mabaya kweny mitandao