Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Naona umetoa majibu mawili kwa mpigo yes na no. Ila nilivyokuelewa usahihi wa online dating kwako utakuwa yes baada ya kuangalia uelekeo wa hayo mahusiano yaliyoanzishwa.

Swali : kwako ulishawahi kuwa na mahusiano na mtu kupitia hii njia?
 
Yes, coz waweza kujuana na mtu online kumbe akawa ni chaguo lako kutoka kwa Mungu. Mnaanza km utani lkn baadae hisia zinawaunganisha
 
Naona umetoa majibu mawili kwa mpigo yes na no. Ila nilivyokuelewa usahihi wa online dating kwako utakuwa yes baada ya kuangalia uelekeo wa hayo mahusiano iliyoanzisha.

Swali : kwako ulishawahi kuwa na mahusiano na mtu kupitia hii njia?
Sijawahi ila nina mifano kadhaa kupitia rafiki zangu
 
Hifadhi baada ya muda nitaruhusu bro na nyie kuuliza ila kama ni swali linalihitajika kwa sasa ni text pm.
Kumbe kuchangia bado
, nalala bac ikiwa tyr Daby plz niamshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…