Hivi wanaume wenzangu mbona mnataabika juu ya wanawake?
Sisi wanaume tumekirimiwa uwezo mmoja tu na Mungu, kuamua ni aina gani ya mwanamke tunayetaka kuwa naye.
Katika ulimwengu wa mapenzi, sisi ni kama Simba awindaye naam tumepewa uwezo wa kuchagua ni kitoweo gani kinafaa kwa mlo.
Mwanamke awe anapenda pesa mbele au asiwe anapenda pesa kabisa, binafsi wala sioni kama ananibabaisha.
Jamii ya wanawake wenye mtazamo kama lara 1 haijalishi wapo wengi kiasi gani, hawa wana aina ya wanaume wanaoendana nao.
Sanaa ya utongozaji huwa inaelekeza hizi, jambo la kwanza kabla ya kutupia ndoana unapaswa kutambua aina ya mwanamke umtakaye na ni kwa malengo yapi.
Hivyo kama utahitaji mwanamke wa kutumia chapaa yako kiroho safi, then consult lara 1 otherwise utaonekana a big fat loser.
Hivyo wanaume wenzangu jitambueni kwanza, mwanamke hajakamilika pasipo mwanaume. Leo hii lara 1 anajitapa kwa kuwa nyuma yake wapo wanaume au yupo mwanaume.
Hili nalo neno...nadumisha hiyo itikadi kwa sana tu, lol..Kuwa na itikadi za kipare ni vizuri saa nyingine!!imeandikwa amelaaniwa mtu anayewasahau watu wa nyumbani kwake.Kuhonga ni sawa nakula unga ukianza hauachi,Kuna watu wamejipa majukumu ya ubaba
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mhhhhhhhhh! Ya Dax its kind of Expired coz HE IS AGING SO FAST! Ya petit man still stands but he better cash it in quick because IM OT GETTING ANY YOUNGER EITHER!!!!!!!!!
I really doubt kama nitaolewa, becausei have 0 tolerance for upuuzi wa wanaume. An if i ever marry i will always keep it real! Tukichokana SIBEMBELEZI MTU! Im that kind of person who believes mtu aieolewa hata 4 times and she is happy is better than a wife who takes shit, shit, and more shit from his hubby because she is too scared to pursue the pursuit for happiness somewhere else. So she sacrifices he happiness for marriage! Hell no!
I WILL STAY WITH MY HUBBY AS LONG AS MY HUBBY WANTS TO STAY WITH ME!!!!!!! Simple!
And i will treat my hubby nicely if he deserves it. Im usually nice to people who are nice to me.
Bado kuna mambo ya msingi ya kuweka sawa hapa..
1. Being a man does not automatically make you "smarter" than all the women. Na ndio maana hadi sasa unaona kuna wanaume wengi tu ambao wanakua outsmarted na women.
2. Being smart kwenye mambo ya mapenzi does not automatically make you smart in other aspects of life. Kwahiyo usidhani kwamba kwasababu mtu fulani anajua jinsi ya kuwa aggressive na anajua mbinu za kuwateka wanaume kimawazo, basi anajua kila kitu. Big No. Kiukweli wanawake wako smart kwenye mambo ya mapenzi kuliko wanaume. Hilo halina ubishi. Ndio maana kila siku nasema mwanamke akidhamiria kumpata mwanaume, ni ngumu sana kwa huyo mwanaume kuchomoka. The vice versa is not true.
3. Kwahiyo sasa.. As a man you stand to lose with this type of a woman maana effort utakazotumia kumpata na kum-maintain ni kubwa na mwishoni utakuja tu kuumia au utakuja kugundua ulichodhani utakipata kwake hakipo.. Heri utafute mwanamke wa kawaida utaenjoy maisha zaidi kuliko kuwa na huyu..!
For instance, kuna vitu wanaume huwa tunapenda kushinda.. basi tu.. Say an argument. Lara1 anakuambia yeye vita yake kuisha maana yake YEYE awe ameshinda..!! Do you see where I'm comming from? Who want that?
speaking of facts.I'm a good judge of character, nikiona mtu abusive au pesa ya mawazo namshit tu.
Hivi wanaume wenzangu mbona mnataabika juu ya wanawake?
Sisi wanaume tumekirimiwa uwezo mmoja tu na Mungu, kuamua ni aina gani ya mwanamke tunayetaka kuwa naye.
Katika ulimwengu wa mapenzi, sisi ni kama Simba awindaye naam tumepewa uwezo wa kuchagua ni kitoweo gani kinafaa kwa mlo.
Mwanamke awe anapenda pesa mbele au asiwe anapenda pesa kabisa, binafsi wala sioni kama ananibabaisha.
Jamii ya wanawake wenye mtazamo kama lara 1 haijalishi wapo wengi kiasi gani, hawa wana aina ya wanaume wanaoendana nao.
Sanaa ya utongozaji huwa inaelekeza hivi, jambo la kwanza kabla ya kutupia ndoana unapaswa kutambua aina ya mwanamke umtakaye na ni kwa malengo yapi.
Hivyo kama utahitaji mwanamke wa kutumia chapaa yako kiroho safi, then consult lara 1 otherwise utaonekana a big fat loser.
Hivyo wanaume wenzangu jitambueni kwanza, mwanamke hajakamilika pasipo mwanaume. Leo hii lara 1 anajitapa kwa kuwa nyuma yake wapo wanaume au yupo mwanaume.
well said mkuu,God bless u with this.....!mekupenda buree:A S 12:i have to end this lara's pathetic side of thinking that not only affects stupid young girls here ,,but affects their future lovin n caring..
.'lara u only need to grow up...umekua ktk mazingira ya bahati MBAYA,, umekiri mwenyewe kwamba YOUR KINSMEN ambao mnashare damu ndo wamepelekea wewe kuwaza hivyo na kuwa njaA na PESA...
STOP ATTRACTING THESE YOUNG GIRLS TO YOUR ILL THINKIN, PESA WILL NEVER GUARANTEE U HAPPINES,, SORY TO THAT PUSS*Y OF UR,,THAT IS BEING SPENT FOR MONEY,UNLUCKY THOSE WALLS CANT SPEAK...
NAKUSHAURI TU KWAMBA PESAA HAITA HALALISHA FURAHA KTK MAISHA YAKO.. WAKATI MWINGNE SIAMIN KAMA U LIVE UR WORDS... ITS A CURSE IF U LIVE THEM NA UNAHTAJI UPONYAJI KIROHO...
OVER.
You know sometimes i just think you aint what You claim to be, excuse my instincts lara 1 ..... i don't know....
Mimi im talking about me, and my people. So siwezi kuwasema waawake wote cause sio msemaji wao na awajaniomba nitoe tamko.
But i bet you wanawake wengi ni DELLUSIONAL! They believe in the MYTH OF LOVE!!!!!! Wanashindwa kuelewa LOVE IS OVER RATED!!!!!!!! Ila maisha ni yao chaguo ni lao.
Mhh lara 1 Please answer this question for me, I would be very grateful.
Lara? Would you advise your daughter I mean your own flesh & blood to follow this type of life? I mean this business of No free Pumbu and chuna mabuzi mwanzo mwisho?
Please get back here; I was away daytime si unajua family Commitments. I also have one other small question after this ..
Mh hapo kwa red, pliz naomba unifafanulie maana yake.
kindly pliz
Maana yake ni kuwa LOVE inakuzwaa sanaa as if ni kitu beyond SPECIAL! Ni kitu BABU KUBWA!, Just too much HYPE and ILLUSIONS wakati kiuhalisia HAKINA EFFECT! Wheather you are i love or not KODI YA NYUMBA IKO PALE PALE!