Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,341
Moja ya Kosa ulilo lifanya ni pale ulipokutana nae airport ukaacha kutafuta lodge ukamtafune,Dawa ya Hao wakirudi piga miti alafu usimtafute tena,au block kabisa😟😟
Tangu awali hakuwa na sifa ya mke. Huyo alikuwa kahaba wa viwango vya lamiIko hivi..
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..
Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.
Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.
Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""
Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.
Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.
Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.
Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""
Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""
Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!
Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI
Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.
Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!
Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.
NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""
Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""
Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...
Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..
Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.
Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.
Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""
JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""
UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.
Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.
#ASANTE
#YNWA
Kumbe miss chagga bado upo mjengoni
Mke wa MTU SUMU..KARMA never FORGETS..
#ASANTE
#YNWA
Nipo mkuu mambo.
Mkuu umefufuka?[emoji848][emoji848][emoji848]
Mambo poa mkuu. Mnatunyima nini huko mliko ?Nipo mkuu mambo.
Maisha mazuriMambo poa mkuu. Mnatunyima nini huko mliko ?
Pole sana KafirrIko hivi..
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..
Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.
Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.
Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""
Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.
Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.
Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.
Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""
Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""
Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!
Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI
Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.
Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!
Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.
NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""
Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""
Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...
Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..
Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.
Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.
Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""
JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""
UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.
Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.
#ASANTE
#YNWA
Damn!! This is gonna make my week." She will never walk alone "
Kama mimi tu mkwe aliniita kafiri na mtoto akaogopa kumuuzi mama wazo la ndoa likafa, sijajua kwa nini wakristo wanatuita kafiri hata ukisema kila mtu abaki na dini yake hawatakiAlisemaga "Mi siwezi kuolewa na mkristo.. Wakristo wotee MAKAFIRI..!!""#ASANTE
#YNWA
Upo abroad ?Maisha mazuri
Upo abroad ?
Mkuu.Ha ha ha bongo
Mkuu.
unawezaje kula bata katikati ya watu waliojaa chuki husda na siasa za majitaka ?
Ha ha ha ha ha yeahh SNWA. Thank you for this abbreviation.Damn!! This is gonna make my week.
YNWA[emoji735]
SNWA[emoji3514]