Aaha jamaa una balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Balaa kweli kweli
Aaha jamaa una balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sasa hivi upepo wa Ma-ex kurudi ni mkali mno. Huyu alinipotezea tangu mwezi wa 1 mwaka huu alipopata kazi, nkajaribu mtafuta tafuta akawa hajibu sms wala hapokei simu japokama nlikuwa namuona kabisa online na status anaweka ila baada ya muda nikawa simuoni tena nkajua nshakula block. Sasa sijui kimemtokea nini yaani amerudi na sababu ya kitoto mpaka nimegundua kumbe nilikuwa nadate na kilaza namna hii[emoji1] na bado anajiamini kuniita Love kwa miezi yote hiyo alokuwa kanipotezea.
Polisi wanajua shikilia simu miezi 9 kwa upelelezi kudadekiView attachment 1240684
Amejifunza na anajitoa kosa lake Nike namba zakeIko hivi..
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..
Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.
Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.
Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""
Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.
Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.
Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.
Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""
Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""
Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!
Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI
Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.
Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!
Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.
NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""
Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""
Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...
Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..
Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.
Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.
Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""
JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""
UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.
Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.
#ASANTE
#YNWA
Iko hivi..
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..
Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.
Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.
Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""
Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.
Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.
Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.
Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""
Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""
Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!
Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI
Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.
Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!
Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.
NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""
Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""
Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...
Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..
Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.
Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.
Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""
JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""
UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.
Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.
#ASANTE
#YNWA
Mbuzi mwingine huyuAaha jamaa una balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kosa kubwa ulilofanya ni kutomtia mimba ungemtia mimba hasingekuita kafiri.Iko hivi..
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..
Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.
Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.
Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""
Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.
Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.
Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.
Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""
Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""
Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!
Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI
Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.
Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!
Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.
NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""
Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""
Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...
Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..
Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.
Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.
Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""
JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""
UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.
Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.
#ASANTE
#YNWA
Muoneni huyu nae, kipindi nimemaliza kidato cha 6 nikaenda jkt kurudi mabaharia wamempa mimba sijakaa sawa akaolewa, sijui nini kimetokea huko amerudi analia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1240640
Mkuu kwamba nyapu yake imekua na tofauti gani mana nishamega sana way back, Mimi kujibu text najibu kwa wakati kama siko busy haijalishi nachat na naniNikiangalia muda ambao 'binti' anakutumia yeye sms na wewe unavyotuma inaonyesha hua upo standby ili kujibu sms zake. Which means ana attention yako.
Which means unaenjoy anavyohangaika.
Which means na wewe ni mwanaume kama sisi wengine.
Hivyo usijizungushe sana. Kamata mega.
Majib mafupifupi tu [emoji3]Mbuzi mwingine huyuView attachment 1240703
Muoneni huyu nae, kipindi nimemaliza kidato cha 6 nikaenda jkt kurudi mabaharia wamempa mimba sijakaa sawa akaolewa, sijui nini kimetokea huko amerudi analia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1240640
#AMENKweli siku nyingine umpe ha hela ya mboga tu usirudishe ubaya kwa ubaya
Jipya hili..Hili bandikobona kama lilishawahi letwa humu. Kesi iko hivihivi..ila sikumbuki memba gani alilileta tu.
Anfield hawawezi tokaa...ndio maaana mmetoka draw na manyumbu FC
Naheshimu MKE WA MTU..Wewe nae unajiuliza jibu? Unadhani tako lingekua bado lipo hii maada ungeiona hapa?
Duhh..Sasa hivi upepo wa Ma-ex kurudi ni mkali mno. Huyu alinipotezea tangu mwezi wa 1 mwaka huu alipopata kazi, nkajaribu mtafuta tafuta akawa hajibu sms wala hapokei simu japokama nlikuwa namuona kabisa online na status anaweka ila baada ya muda nikawa simuoni tena nkajua nshakula block. Sasa sijui kimemtokea nini yaani amerudi na sababu ya kitoto mpaka nimegundua kumbe nilikuwa nadate na kilaza namna hii[emoji1] na bado anajiamini kuniita Love kwa miezi yote hiyo alokuwa kanipotezea.
Polisi wanajua shikilia simu miezi 9 kwa upelelezi kudadekiView attachment 1240684
Mke wa mtu SUMU...Amejifunza na anajitoa kosa lake Nike namba zake