Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu

Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu

Dunia mikasa, hukuna haja ya kuwa karbu na X hata kidogo, s unajua X ni nyanjo sasa ww nyanjo za nin tena? mazngra yaklazmu kukutana mtendee kiungwana kama ambayo ungesaidia mwngne anayhtaj msaada wako, mwepuke uwezavyo wadamu hatuna wema
 
Hakukupenda, na bahati mbaya hukuweza kumfanya akupende. Ulikuwa unamfaa tu wakati wa shida/ na ndio maana anarudi tena sasa wakati wa shida. Na huenda mumewe anajua kuhusu mahusiano yenu ya awali, binti anataka tu kukutumia kumwuumiza msela.
Ulipokuwa nae hukumkoleza yale mambo ya chumbani- laiti ingekuwa umefanya hivyo mambo sijui ya dini isingekuwa sababu.
Siku nyingine tindua sawa sawa- achana na mambo sijui ya kumtafutia kazi. Unakaa na mtu unampenda hata kumtandika Mimba moja unashindwa, kaeni kwenye mahusiano kimkakati ili kuepukana na aina ya Maumivu uliyopata.
 
Hakukupenda, na bahati mbaya hukuweza kumfanya akupende. Ulikuwa unamfaa tu wakati wa shida/ na ndio maana anarudi tena sasa wakati wa shida. Na huenda mumewe anajua kuhusu mahusiano yenu ya awali, binti anataka tu kukutumia kumwuumiza msela.
Ulipokuwa nae hukumkoleza yale mambo ya chumbani- laiti ingekuwa umefanya hivyo mambo sijui ya dini isingekuwa sababu.
Siku nyingine tindua sawa sawa- achana na mambo sijui ya kumtafutia kazi. Unakaa na mtu unampenda hata kumtandika Mimba moja unashindwa, kaeni kwenye mahusiano kimkakati ili kuepukana na aina ya Maumivu uliyopata.
Help the people who are in trouble and they will come back to you when they are in trouble again.
 
Iko hivi..

Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..

Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.

Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.

Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.

Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)

Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""

Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""

Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.

Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.

Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.

Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.

Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""

Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""

Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!

Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI

Time heals na nikasahau..

Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.

Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!

Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.

NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""

Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""

Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""

Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...

Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..

Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.

Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.

Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""

JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""


UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.

Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.

#ASANTE
#YNWA
Story yako tunashare baadhi ya mambo,japo mm ni Christian nwenzangu na kazalishwa hakujua kumbe mshikaji alikuwa na mke wa ndoa hakumwambia ukweli,amemwambia baada ya kujifungua,eti saizi analialia arudi tufunge Ndoa mtoto akikua,nimekuwa nikicheka tu.

Wanawake msipende sana mitelemko.
 
Back
Top Bottom