Ex wako akikuomba utamnyima?

Ex wako akikuomba utamnyima?

you just remain neutral cause hata ukijua it won't change anything walishagegedana it is already past you know it is very humiliating to mention someone's mistake otherwise unataka kuanzisha ugomvi ,kama ni mii naenda zangu kula chips yai na azam kola then nalala ujue sharing is caring hahaha

Hahahah mzee unakua mpole unapiga kimya tu...ila kuliwa nyaraka za siri "mke" inauma
 
Ndipo sasa kuna kale kamsemo ka mkuu wa kaya kanashika hatamu wakati kama huu, "ukitaka kula, sharti nawe uliwe"...

watu8 c nimekwambia kimyakimya kama we unadhani una kila sababu ya kumfata ur ex mek sure mkeo wa ndoa hatajua hili , ndoa na iheshimiwe na watu wote, akijua ni dharau
 
mla hulwa, na wewe kumbuka mkeo ni ex wa mtu flani, jiulize, tupo wangap?
 
sio kihivyo, nahitaji akili za kuzaliwa tu.

Akichanganya na fomu foo kayumba maisha yaende.

Afu ujue mjanja ukikamatika ndo kwishney kabisa.

Kongosho sikuwezi, umeniacha hoi na mbavu zangu...sasa mwanaume wa aina hiyo si lazima anaishia kufanya DNA test? Lol! Kweli kua unayone. Huyo jamaa yako lazima awe lecturer...maana bila kuwa busy kusoma ili ukafundishe si utampagawisha bure!!
 
Go screw ur ex too
Or you go hug a transfomer:majani7::majani7:
on a serious note, one time i wished i had an ex (not so that i can go screw him, just be evil me and break two hearts at a time!)
 
''kila nikikutana na girl friends nilioachana nao nawatamani ni do..... (kuto***na).... nao''

Hii ni kauli ya jamaa mmoja.

ckumshangaa coz hata mm imewahi nitokea wakati fulani


Eti mwana jamii ww kwako ikoje?

vijana achaneni na tamaa,how comes ule matapishi yako mwenyewe?ulimuacha cuz hakufai,hivyo hakuna haja ya kung'ang'ana na huo uzinzi wenu mliokuwa mnaufanya kipindi cha nyuma
 
kama alikuwa mzuri kwa bed halafu nna mahamu ya ku do, ntampa tu. shida ipo wapi!!!!
 
hapo chacha!

Unajua mtani hii mambo ya kupenda kumega vya watu ni tabia ya kibinafsi sana...
Siye watu wa Pwani huwa twasema, "wako akiwa kwako, asipokua kwako si wako"...
Sasa akifanikiwa kujibu kwa ufasaha vile nimemuuliza, nina uhakika hatakaa afikirie tena hilo swali la kifuska ambalo limeuteka ubongo wake...
 
Unajua mtani hii mambo ya kupenda kumega vya watu ni tabia ya kibinafsi sana...
Siye watu wa Pwani huwa twasema, "wako akiwa kwako, asipokua kwako si wako"...
Sasa akifanikiwa kujibu kwa ufasaha vile nimemuuliza, nina uhakika hatakaa afikirie tena hilo swali la kifuska ambalo limeuteka ubongo wake...
yani unafikir mi nakupenda bure tu!
ni haya mawazo yako ya kina kabisa mtani wangu
yani kusema ukweli watu tunaona rahisi kweli kuzungumzia kuumiza wengine,huwa hatuwazi hata kidogo maumivu hayo yakielekezwa kwetu!
 
Back
Top Bottom