Ex wako akikuomba utamnyima?

Ex wako akikuomba utamnyima?

Mi akija kuniomba itakuwa ni marudio tu lol.... Coz nilishamwomba akaninyima cjui aliniogopa kwi kwiiiiiii iiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sili matapishi, nikishakutoa kwenye akili yangu sikutamani teeeenaa!

Wewe ulipigwa kibuti cha uso ndo maana unasema hivi, makoloni ya zamani hayaachwi kamwe. Hata UK haijaacha makoloni yake yafe yatima kama Tanzania, Kenya, Malawi n.k
 
Mi akija kuniomba itakuwa ni marudio tu lol.... Coz nilishamwomba akaninyima cjui aliniogopa kwi kwiiiiiii iiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mi huwa siombi wote tunajikuta tupo ndani guest house goli la kwanza limesha tundikwa
 
HA ha ha ha ha, umenivunja mbavu

Labda na wewe ni zamadamu kama mie?

Mi akija kuniomba itakuwa ni marudio tu lol.... Coz nilishamwomba akaninyima cjui aliniogopa kwi kwiiiiiii iiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kumbe na wewe unajua hilo?

Kulala Korokoroni gesti hausi na pale Hyatt, lazima kuna siku utakumbukia Hyatt

Scaring me...lol! Kumbe chaguzi za nani wa kuolewa naye zinaangalia hata offspring wanaweza fananaje, kwa wanawake wajanja lakini. Wengine gari ya bei mbaya ni kigezo toha cha kuhalalisha yote hata yale yasiyo halali...utafikiri wote wanasoma kwa mastaa wa bongo movies
 
Toa mada ya maana. Lakini sishangai. maana umejoin hili jukwaa 10th December 2012. pekua pekua makabrasha ili uone tunavyoanzisha mada na kutoa michango.

Unaandika mambo yasiyokuwa ya maaana kwa mada isiyokuwa ya maana
 
Kama alikuwa anaweza mchezo, dah huwa namkumbuka sana. So nikikutana naye hata kama ashaolewa, itabidi nijitose.
 
Lazima uangalie mengi

Kuna mbegu zingine zinafaa mazo tu, ila sio kutotolesha binadamu lol

Hata mtoto aende IST bado ukimuuliza 'How are you?' Anajibu 'your name is Judisi'

Scaring me...lol! Kumbe chaguzi za nani wa kuolewa naye zinaangalia hata offspring wanaweza fananaje, kwa wanawake wajanja lakini. Wengine gari ya bei mbaya ni kigezo toha cha kuhalalisha yote hata yale yasiyo halali...utafikiri wote wanasoma kwa mastaa wa bongo movies
 
Unaandika mambo yasiyokuwa ya maaana kwa mada isiyokuwa ya maana

Kijana, unapoteza muda wako kunifuatilia. Nipo humu JF toka 2007. Huu mwaka wa tano sasa. Naona wewe umejiunga 1st June 2011. Karibu sana.
 
studies conducted by MOHsW on HIV/AIDS within couple show a greater chance that if a couple is LWHIV, the infection was obtained from one of the x in both sides, estimation runs up to 50% study conducted 2010-2011
be safe, play safe, its not a matter of having sexual intercourse with ya x,,, it's a matter of ya health
STAY IN GOOD SHAPE
 
Kumbe mwaka wa kujiunga unahusu?

Afu jana kuna mtu alikuanzishia sred, kwani ilikuwaje?


Kijana, unapoteza muda wako kunifuatilia. Nipo humu JF toka 2007. Huu mwaka wa tano sasa. Naona wewe umejiunga 1st June 2011. Karibu sana.
 
Lazima uangalie mengi

Kuna mbegu zingine zinafaa mazo tu, ila sio kutotolesha binadamu lol

Hata mtoto aende IST bado ukimuuliza 'How are you?' Anajibu 'your name is Judisi'

Kongosho sikuwezi, umeniacha hoi na mbavu zangu...sasa mwanaume wa aina hiyo si lazima anaishia kufanya DNA test? Lol! Kweli kua unayone. Huyo jamaa yako lazima awe lecturer...maana bila kuwa busy kusoma ili ukafundishe si utampagawisha bure!!
 
Kumbe mwaka wa kujiunga unahusu?

Afu jana kuna mtu alikuanzishia sred, kwani ilikuwaje?

Ha ha ha ha ha ha!! Wamenianzisha thread? kwa lipi hasa? Waeleze mi ni mkongwe humu ndani. Wakati huo, tukiita Jamboforum, sio jamiiforums.
 
papuchi inajileta kwa nini nisigegede....tena nahakikisha namuomba na tigo kabisa wakati wa game. sii kajileta mwenyewe bwana

aha ahaa, umenichekesha sana mdau, kwa iyo na mie niliyeachana nae juzi tu naweza kumgegeda tena siku za mbele eeeeh? na akijilengesha tena nitamla tigo sasa,
 
Back
Top Bottom