Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 348
Misingi gani hiyo
Aha! misingi ya kuendeleza uhusiano pindi mnapoachana. Wengine wanaachana kwa matusi! Hiyo si misingi misuri. Watu tunaachana kiukweli na pindi tunaachana kila mmoja anabubujika na machozi ya huzuni - sasa hapa utamuacha mtu akirudi?