Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,354
- 108,476
kama alikuwa mzuri kwa bed halafu nna mahamu ya ku do, ntampa tu. shida ipo wapi!!!!
Kwa sababu kawa "Jogoo la kuazima" eenh?
kama alikuwa mzuri kwa bed halafu nna mahamu ya ku do, ntampa tu. shida ipo wapi!!!!
kama alikuwa mzuri kwa bed halafu nna mahamu ya ku do, ntampa tu. shida ipo wapi!!!!
we naeeeeeee!!kama alikuwa mzuri kwa bed halafu nna mahamu ya ku do, ntampa tu. shida ipo wapi!!!!
swali lingekuwa hivi; "waweza kula matapishi yako?" majibu yangekuwa the same?
cc Kongosho na shosti wake King'asti na bro wake Nyani Ngabu na washkaji zako wote! LOL
Mi huwa siombi wote tunajikuta tupo ndani guest house goli la kwanza limesha tundikwa
Kuna mmoja tu, hata anikute na vitukuu nampa
Wengine
kuachana kuna mambo mengi......sio lazima awe hakufai.....na kumbuka wengine huwa hawaachaniulimuacha cuz hakufai
inaonekana u mwema sana.......na raha ya vifaa vyenyewe hata vitumike vipi havaishi wala ku-expiremmh, kama linaua wadudu wote lazima litumiwe na watu wote.
swali lingekuwa hivi; "waweza kula matapishi yako?" majibu yangekuwa the same?
cc Kongosho na shosti wake King'asti na bro wake Nyani Ngabu na washkaji zako wote! LOL
sio wa kuazima bana ila hiyo kitu sio yako peke yako. halafu ujue inategemea na sbb iliyowaachanisha. kama mmeachana huku mwapendana kwanini mnyimane mautamu Mtu8??????
hahaha we bi dada mbona wantisha mie!!! nitaafikiana na wewe kama tu bado mpo single, otherwise hiyo ni Hatareeee!!
hapo kwa RED kuna mushkeli, kama bado mna mahaba kwa nini kuachana sasa.
Kuna mmoja tu, hata anikute na vitukuu nampa
Wengine h
kuna sabb nyingi zinazowaachanisha watu ukiacha hiyo ya kukosekana kwa mahaba. ikitokea hivyo halafu mmekutana waweza shangaa mwenyewe unatafta pa kwenda kuduiana. lol.
swali lingekuwa hivi; "waweza kula matapishi yako?" majibu yangekuwa the same?
cc Kongosho na shosti wake King'asti na bro wake Nyani Ngabu na washkaji zako wote! LOL