Ex wako akikuomba utamnyima?

Ex wako akikuomba utamnyima?

He he he he he he, no comment

kuna sabb nyingi zinazowaachanisha watu ukiacha hiyo ya kukosekana kwa mahaba. ikitokea hivyo halafu mmekutana waweza shangaa mwenyewe unatafta pa kwenda kuduiana. lol.
 
''kila nikikutana na girl friends nilioachana nao nawatamani ni do..... (kuto***na).... nao''

Hii ni kauli ya jamaa mmoja.

ckumshangaa coz hata mm imewahi nitokea wakati fulani


Eti mwana jamii ww kwako ikoje?

Kwangu mimi hii ni golden chance ya kuomba mtandao wa tiGo
 
Mmh, tukienda kwa kufananisha kihivyo hatutafika

Nikuulize, unaweza kula chakula alichokula mwenzio afu akakitema??

Je, kwenye mapenzi mbona twala sana makombo na walivyotema wenzetu?
cc@watu8

Nikuulize, unaweza kula chakula alichokula mwenzio afu akakitema??

Hahahah....hili swali umezidisha manjonjo, mi nadhani ulipaswa uulize hivi,

"Nikuulize, unaweza kula chakula alichosusa mwenzio??"
Jibu ni ndio kwa kuwa bado chaitwa chakula...
 
Nikuulize, unaweza kula chakula alichokula mwenzio afu akakitema??

Hahahah....hili swali umezidisha manjonjo, mi nadhani ulipaswa uulize hivi,

"Nikuulize, unaweza kula chakula alichosusa mwenzio??"
Jibu ni ndio kwa kuwa bado chaitwa chakula...

Utakuwa hujaumwa na njaa wewe, watu wanakunywa mkojo wa ng'ombe

21414857_457f7a14b0.jpg
 
Mbona yeye kasema ex ni matapishi yangu?


Na mie mniulize, naweza kula kiporo nilichosusa?

Nikuulize, unaweza kula chakula alichokula mwenzio afu akakitema??

Hahahah....hili swali umezidisha manjonjo, mi nadhani ulipaswa uulize hivi,

"Nikuulize, unaweza kula chakula alichosusa mwenzio??"
Jibu ni ndio kwa kuwa bado chaitwa chakula...
 
Kama unaweza ku-do na mwinginewe yeyote sasa inakuwaje HARAMU ku-do na EXs??
The question here could be are you ready to screw any man/woman apart from your incumbent partner?
Myself, i don't think if there will be a day when i'll turn my back to the ex!..once past..past forever!!
 
X wng' alniumza xana' lakn kiukwel hadi huwa namuotaga, i rl wsh itokee tena..
 
Inategemeana, mbona mimi ma ex-girlfriend zangu wooote na do nao kirahisi tu? Tena wananipenda sana. Si mlijionea wenyewe yule ambae alikuwa akidundwa na mmewe anakimbilia kwangu? Sasa mnafikiri akija kwangu nilikuwa nampa pole halafu anarudi hivyo hivyo? Pumbaf nyie ambao mnakata ku do na ma ex wenu! Sema hamkuweka misingi mizuri wakati mnaachana
 
Kama unaweza ku-do na mwinginewe yeyote sasa inakuwaje HARAMU ku-do na EXs??
The question here could be are you ready to screw any man/woman apart from your incumbent partner?
Myself, i don't think if there will be a day when i'll turn my back to the ex!..once past..past forever!!

ushawahi kukutana na ur x just an accident or planned??
 
mara zote nimekua nikiwakwepa maEX kwa kuhofia kuvunja ndoa zao....si unajua mambo ya comparison...sasa nikitoa ile A-list game yangu naweza kuta nabishiwa hodi kila mara!!!

kama ni sababu wameolewa hapo sawa.
 
Inategemeana, mbona mimi ma ex-girlfriend zangu wooote na do nao kirahisi tu? Tena wananipenda sana. Si mlijionea wenyewe yule ambae alikuwa akidundwa na mmewe anakimbilia kwangu? Sasa mnafikiri akija kwangu nilikuwa nampa pole halafu anarudi hivyo hivyo? Pumbaf nyie ambao mnakata ku do na ma ex wenu! Sema hamkuweka misingi mizuri wakati mnaachana

Misingi gani hiyo
 
Back
Top Bottom