Young murrah
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 415
- 460
Rudisha vitu vyake utamu uliopata ww ndo utamu aliyopata yeye
Rudisha mapenzi ya Digital!?Ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadhi ya vitu alivyoninunulia,kanitumia mesegi za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakini ndo kama imekua mwiba kila saa sms na simu za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje?
..
...kamsaidie sasa...na ww mla vya watu tu...kama hiyu masai...kamsaidie asim ufo saro...na ww cku zako ziko njiani.... una tabia za kula vya watu....subiria
Exactly mkuu,huyu mwanamke anataka kujionyesha not guilt,kama tungepata nafasi ya kumsikiliza jamaa ndio tungeujua ukweli,wanawake wa siku hizi ni waongo sana,kala vitu vya jamaa,anataka kukimbia jamaa kamshtukia,yeye amrudishie jamaa vitu vyake aache usengerema.
Vitu vya watu vinakuwaga kwa mtu mwingine na kwa jina jingine?????!!!
Kamkuta mdada mwanjomwanjo masikini,mbona angejua kuwa mapenzi chuo kikuu
Mr. President niombe radhi sitaki kwa kweli umenikosea... nakula na watu wakubwa wewe acha njaaa
alafu tatizo anataka ela alizotumia kwangu sinceday 1
Naye arudishe uroda alioupata na raha zote ili haki itendeke
na yeye arudise za kwake ... huyo mwanume jinga sana
vitu nilimwambia aje achukue tatizo ananiambia anataka pesa zake tangu alivyonijua na gharama za huduma yoyote aliyonifanya ndio maana nikaomba msaada
du shosti kwaaaade taadoi? ko liaji ilaa ayooni le memurata? kama kurudisha ni poa ila aanze yeye kurudisha kila kitu mpk muda aliokutumia. MITOTO MINGINE BHANA HAIJAKUA INAINGIA KWENYE MAPENZI NA WATU WAZIMA!!!!! CJUI HELA ZA KUNUNULIA AMUHBIA BABAYE?
Alishikiwa mtutu???kamkuta huyo demu nae kiazi
kwan anakudai bei gani? je upo tayar kumlipa? au unataka kudhulumu?
...Can u define URODA...perhaps ua NAZI HEAD...
Ok. URODA = Unajidai Rijari Ona Dada Amekukimbia. Upo hapo?
Naye arudishe uroda alioupata na raha zote ili haki itendeke
Ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadhi ya vitu alivyoninunulia,kanitumia mesegi za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakini ndo kama imekua mwiba kila saa sms na simu za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje?