CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,827
- 1,858
Ovyooooooo! Sikutarajia kuwa bado tuna mijitu ya aina hii karne ya 21. Kama alikununulia bazoka, icecream au lunch navyo anataka? Kama aliwahi kukununulia nguo wewe mpelekee hata tight,chupi nk kusanya upeleke.
Suala la kujuana na polisi wala lisikutishe, kwani umeiba? Hiyo ni kesi ya madai kama ipo kesi kweli. Huwezi kuwekwa mdani kwa sababu ya upuuzi wa namna hiyo. Ahhhrrrgh!!
Suala la kujuana na polisi wala lisikutishe, kwani umeiba? Hiyo ni kesi ya madai kama ipo kesi kweli. Huwezi kuwekwa mdani kwa sababu ya upuuzi wa namna hiyo. Ahhhrrrgh!!