Ex boyfriend anataka nimlipe gharama zake

Ex boyfriend anataka nimlipe gharama zake

Kwani we kumrudishia pesa zake shida ipo wapi? kwani zako? siulipewa ukatumia? mrudishie sasa.... kama unaupenda uhai wa maisha yako bora ufanye uamuzi wa kumrudishia pesa zaken ili uwe huru na maisha yako pesa utatafuta utazipata. sasa ndo utajua km kila siku ulikuwa unaomba laki 200,000 unalo! tatizo la girls huwa hamjifunzi kitu boyfrnd akikupa zawadi ya 100,000 we mpe hata ya 10,000 hata mkiachana hawezi kuvidai coz hata wewe ulikuwa wampa, sasa wew ulikuwa unapokea tu ulitegemea nini? ndo majanga sasa. lakini pia jifunze kutokupenda pesa za vidume coz mapenzi sio pesa tu.
 
Afu mbona wamasai wana sifa ya kusoma sana na kua mzuri. We ulitumikaje? Ulitakiwa utumikie taifa na kazi sio kwa mwanaume. Pardon my language
 
CHAMTU MAVI rudisha,huko ulikoeleke kandamiza akununulie vingine

Hawa wanawake wa siku hizii...unamleaaa kwa miaka...halafu anakusaliti...dakika sifuri anageuka na kukujibu kunya ..huku KILA KITU NI MWANAUME kamlea na kumtunza kwa miaka....DAWA YAO ni moja tu...PEPONI....nina kabisa..hawanaga fadhila wala kumbukumbu hawa..
 
Hawa wanawake wa siku hizii...unamleaaa kwa miaka...halafu anakusaliti...dakika sifuri anageuka na kukujibu kunya ..huku KILA KITU NI MWANAUME kamlea na kumtunza kwa miaka....DAWA YAO ni moja tu...PEPONI....nina kabisa..hawanaga fadhila wala kumbukumbu hawa..

Hakika yamekukuta
 
Matola inategemea mkuu mademu wengine they r very troubleshooters aaaagrrrr! mshikaji pengine kajituma kichizi kumeet demand ya huyu demu. Then baada ya wiki2 demu anazingua hataki kupokea simu kutwa nzima, ukimwandikia sms kiukali fulani kuonesha msuri wa kiumme anaanza kureact negatively na kukuponda kisen.ge kwann usidai mali zako? M talking regarding to my own experience.
Demu nilimkuta form2, nikahudumia mpaka udsm bt end of the day akanitenda na kuleta mambo ya shobo. Agggrrr niliumiaje mkuu!

sasa sababu yako ni tofauti na huyu dada
 
Last edited by a moderator:
du shosti kwaaaade taadoi? ko liaji ilaa ayooni le memurata? kama kurudisha ni poa ila aanze yeye kurudisha kila kitu mpk muda aliokutumia. MITOTO MINGINE BHANA HAIJAKUA INAINGIA KWENYE MAPENZI NA WATU WAZIMA!!!!! CJUI HELA ZA KUNUNULIA AMUHBIA BABAYE?
 
Dada pole sana...Kwa vile hukua mke wa ndoa...hapa dada sina la kukutetea...kwani mlikua kwenye urafiki tu na urafiki umekwisha kwa io jaribu kukabiliana na mashaka haya yote...ila nataka kukuliza tu.....ni pesa kiasi gani anazo kudai...Kama ni hela ambayo wewe una uwezo nayo mlipe tu dada...huyu jamaa ni mnyama kwa kweli..kwa sababu kama angelikubali mkaachana kwa wema....huwezi jua pengine ungeliweza kuja msaidia...Kama huna uwezo nenda polisi weka repoti na polisi watamuita halafu ingia nae makubaliano ya kumlipa hela yake....Pengine ataona aibu tu uyo mbele ya polisi. Kama hana iabu basi mlipe kwa mujibu wa uwezo wako.....Ushauri wangu kwa dada zangu...Jaribuni kupunguza tamaa na kumuamini mtu haraka haraka....Ni vyema mkajiridhisha kabla ya kujump katika mahusiano...msijirahisishe kupita kiasi...
 
..mwongeleshe hadi kimasai.labda kilugha atakuelewa
..mwambie kimenuka...arudi akachunge ng'ombe....sio kuja kuibia wanaume mjini atauawa vibaya....tena mwambie afanye upesi jamaa anakuja...


du shosti kwaaaade taadoi? ko liaji ilaa ayooni le memurata? kama kurudisha ni poa ila aanze yeye kurudisha kila kitu mpk muda aliokutumia. MITOTO MINGINE BHANA HAIJAKUA INAINGIA KWENYE MAPENZI NA WATU WAZIMA!!!!! CJUI HELA ZA KUNUNULIA AMUHBIA BABAYE?
 
Ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadhi ya vitu alivyoninunulia,kanitumia mesegi za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakini ndo kama imekua mwiba kila saa sms na simu za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje?

Rudisha pesa za mshikaji,unajitetea hapa ili uonekane huna hatia,wanawake wengine ni umiza kichwa,yawezekana wewe ndie chanzo na baada ya kumfyonza mshkaji unajidai ana mke hutaki,rudisha pesa ya mshkaji,kila kitu chake mpe,starehe mlikua mnafurahia wote,rudisha vitu vya mshkaji vyote.pia ukome kuiba waume za watu.rudisha pesa ya mshkaji.
 
Ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadhi ya vitu alivyoninunulia,kanitumia mesegi za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakini ndo kama imekua mwiba kila saa sms na simu za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje?

Mwambie naye arudishe Mabusu, mahaba, muda na vyote ulivyoshea naye kama anaweza.
 
Hawa wanawake wa siku hizii...unamleaaa kwa miaka...halafu anakusaliti...dakika sifuri anageuka na kukujibu kunya ..huku KILA KITU NI MWANAUME kamlea na kumtunza kwa miaka....DAWA YAO ni moja tu...PEPONI....nina kabisa..hawanaga fadhila wala kumbukumbu hawa..

Kabisa,huyu mwanamke kala vya mchizi alafu sasa anajidai alikua hajui kama jamaa ana mke,kweli?the only woman to trust is your mom.
 
Ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadhi ya vitu alivyoninunulia,kanitumia mesegi za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakini ndo kama imekua mwiba kila saa sms na simu za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje?

Pole sana dada kwa kukutana na mwanaume lofa ambaye hana hela!!! Hivi miaka hii ukimpa mwanamke kitu chochote unarudi nyuma kumdai. Tena ulidanganya huna mke, leo hii kagundua una mke na kwa busara anataka akuache halafu unaleta za kuleta? Dada nenda polisi kaandikishe maelezo na sms onyesha!!!! Atatafutwa na utapewa kinga ya polisi!! Hawezi kuhonga polisi wote. Tafuta ndugu yake anayefahamiana na askari halafu akusaidie kumpata askari ukaandike maelezo. Uko mkoa gani tukusaidie kama inawezekana!!! Huu ni ushamba kuliko wa jogoo aliyevaa skin tight!!
 
Wewe usirudishe.....tena mwambie kukutumia alikokutumia hayo ndo malipo yenyewe,

af dada huyo mwanaume mawazo wa kudai vitu ulimpata wapi?......watoto ndo wanadai lakini watu wazima hakunaga hayo

Huwezi kula vyangu alafu ujifanye kujua kisha nikuache eti kisa ni watu wazima.starehe walikua wanapata wote,mshauri arudishe vitu vya mshkaji,pili aache kuiba waume za watu,hayo ndio malipo yake siku yakikufika kidevuni.
 
Kabisa,huyu mwanamke kala vya mchizi alafu sasa anajidai alikua hajui kama jamaa ana mke,kweli?the only woman to trust is your mom.


...I beg the guy to take ultimate decision.....just UFOOOOOOOO SAROOOOOOO HER.....no way out alaaaa....
...Hajui mchizi alizipataje hela hadi amtake care for years...halafu analeta umaku hapo....
...UFOOO SAROOO HER...quick...ndio ataelewa..
 
...I beg the guy to take ultimate decision.....just UFOOOOOOOO SAROOOOOOO HER.....no way out alaaaa....
...Hajui mchizi alizipataje hela hadi amtake care for years...halafu analeta umaku hapo....
...UFOOO SAROOO HER...quick...ndio ataelewa..

Alishikiwa mtutu???kamkuta huyo demu nae kiazi
 
...I beg the guy to take ultimate decision.....just UFOOOOOOOO SAROOOOOOO HER.....no way out alaaaa....
...Hajui mchizi alizipataje hela hadi amtake care for years...halafu analeta umaku hapo....
...UFOOO SAROOO HER...quick...ndio ataelewa..

Exactly mkuu,huyu mwanamke anataka kujionyesha not guilt,kama tungepata nafasi ya kumsikiliza jamaa ndio tungeujua ukweli,wanawake wa siku hizi ni waongo sana,kala vitu vya jamaa,anataka kukimbia jamaa kamshtukia,yeye amrudishie jamaa vitu vyake aache usengerema.
 
Back
Top Bottom