Watoa huduma karibu wote(kama sio wote) wa internet wanasema siku 30 (sio mwezi) za huduma. Kwanini sio mwezi mmoja? Profit maximization??. Kwa mtazamo wangu wanaiba siku 6 (kwa mwaka) for every subscriber (wako hundreds of thousands if not millions). Basi na Tanesco, Dawasco e.t.c wafanye hivyo??? Sorry Loth Hema. TCRA. Anyhow muhimu ni mjadala ulilenga huo muda wa huduma. Thanks anyway for noting. Mods naomba nirekebishieni title.