EWURA, Utaratibu wa kujenga Vituo vya Gesi asilia kwaajili ya Magari upoje?

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Aug 23, 2015
3,264
7,404
Mwanzoni nlijua ni TPDC peke yake kumbe shida na EWURA ni Shida.

Wanakwamisha vibali vya kufunga vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye magari.

Kwa sasa Tanzania nzima vituo vilikuwa viwili tu vya kujazia gesi yaani Ubungo na Tazara sasa kituo cha Tazara kikapata hitilafu wakaambiwa warekebishe na wameshakaguliwa na inspector wa Gesi.

Sasa tatizo linakuja kwa hawa EWURA wanazungusha kutoa Kibalii ya kuendelea na kazi wakati kituo kilishakaguliwa na Mtaalamu Dr Rajabu ambaye ndio Last say kwenye ukaguzi!

Watu wanateseka kituo ni kimoja magari kibao yaan mtu anasubiri mpaka masaa 3 kujaza gesi!

Hata vibali vya kuanzisha vituo vingine vya kujazia gesi bado wamevikalia miaka watu hadi wenye ma sheli waliomba lakini wapiiiii.

Ni aibu kampuni kama TPDC walitumia hela ya serikali kuwawekea wafanyakazi wao gesi kwenye magari wakati hawana hata pa kujazia wooote wanajaa Ubungo hapo yaan sijui sisi tumelaaaniwa wapi jamani.

muda utasema

=====

21 Aprili 2023: UPDATES KUTOKA EWURA

=====

Tangu 2021 EWURA imetoa leseni za uendeshaji wa vituo vya gas ( CNG) kwa Kampuni za:-

1. Anric-Tazara Dar es Salaam
2. Dangote-Mtwara
3. Pan Africa-Ubungo

Waliopewa vibali vya ujenzi kwa maana wanaendelea na ujenzi ni:-

1. TAQA DALBIT (Airport Dar)
2. Dangote-Mkuranga Pwani
3. TURKEY-Bagamoyo
4. TAQA DALBIT-Dar es Salaam Sam Nujoma road

5. TPDC wapo kwenye mchakatato wa kuomba vibali vya ujenzi wa vituo viwili Dar es Salaam

Hivyo maelezo kwamba EWURA inakwamisha mradi wa gesi kwenye magari si sahihi.

Utaratibu wa kupata vibali vya ujenzi na leseni za kuendesha vituo vya gesi asilia iliyogandamizwa (CNG) huu hapa👇🏾


Gharama za vibali vya ujenzi na leseni hizi hapa👇🏾


Pia, mwenye hoja ama jambo lolote lenye kuhitaji ufafanuzi anaweza kupiga namba ya bure 0800110030 ; Jumatatu hadi Ijumaa saa 2 asubuhi hadi saa 10 jioni

Vilevile ofisi za EWURA zilizopo Dodoma, Dar es Salaam, Mbeya, Arusha na Mwanza zipo wazi na tayari kutoa huduma au ufafanuzi wa suala lolote kuhusu gesi asilia na uendeshaji wa vituo vya CNG na masuala mengine ya udhibiti.
 
Hii nchi ishakua shamba la bibi.

serekali inaanzisha hiki then badae inakikwamisha tena hicho kitu ilishoanzisha.

Hivi huyu mkurugenzi Ewura si ndo mume wa supika wa lile Bonge lisilokuwa na meno pale dodoma la kitunga sheria za kiwaki?

Nchii inachezewa sana na Dawa yake ni hii hapa;

1.Bibi Tozo aapishe wengine
2. Mfumo wa fisiemu uondolewe madarakani ili nchi ipumue na ufisadi na wizi mkubwa.
3.Wakurugenzi wa taasisi na mashirika wote watimuliwe

NAIONA KESHO YENYE NEEMA, NIMEOTA WATANZANIA WAMEAMKA, WANAIPAMBANIA NCHI YAO ILA SI KWA AMANI BALI NI UPANGA NA MWISHO WA YOTE NCHI INAKAA SALAMA.
 
Viongozi wengi wanamchukulia poa Rais Sa100 ila naye kachangia sana hali hiyo...hata kwenye makosa ya wazi anajivuuuta mno kuchukua maamuzi sijui ni uoga au ni nn. hida kwelikweli. Eti mtu anaombwa atupishe!
 
Nchi siyo shamba la bibi kwenye mambo kama hayo. Changamoto ni kwamba tunaunda taasisi na kutumia wataalamu kuzuia na kudhibiti badala ya kuongeza ufanisi kwenye shughuli za maendeleo.

Taasisi kama EWURA zipo kukusanya mapato zaidi na kudhibiti kwa urasimu ambao ungeweza kuondoka kwa mapato hayo kukusanywa kivingine na wataalamu hao wakatumiwa kwenye taasisi nyingine zinazoongeza tija.
 
Hakuna anaye mdharau rais Samia honorable causa bali yeye binafsi hajiamini katika utendaji wake kutwa kulalamika badala ya kutatua shida za wananchi

Mambo madogo tu yanamshinda ambayo yako wazi hayo makubwa ataweza kweli ?
 
"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi"

Walishazoea kupata tozo za burebure kwenye mafuta huku kwenye gas tozo ni ndogo mno mnahofia maslahi yao
 
Mwanzoni nlijua ni TPDC pekeyake kumbe shida ni hawa EWURA! wanakwamisha vibali vya kufunga vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye magari.

Kwa sasa Tanzania nzima vituo vilikuwa viwili tu vya kujazia gesi yaani Ubungo na Tazara sasa kituo cha Tazara kikapata hitilafu wakaambiwa warekebishe na wameshakaguliwa na inspector wa Gesi.

Sasa tatizo linakuja kwa hawa EWURA wanazungusha kutoa Kibalii ya kuendelea na kazi wakati kituo kilishakaguliwa na Mtaalamu Dr Rajabu ambaye ndio Last say kwenye ukaguzi! watu wanateseka kituo ni kimoja magari kibao yaan mtu anasubiri mpaka masaa 3 kujaza gesi!

Je, EWURA nao wanamuona mama kama hatishii? wanamchukulia kama mwanamke asiye na uwezo?
maana hata vibali vya kuanzisha vituo vingine vya kujazia gesi bado wamevikalia miaka watu hadi wenye ma sheli waliomba lakini wapiiiii.

Ni aibu kampuni kama TPDC walitumia hela.ya serikali kuwawekea wafanyakazi wao gesi kwenye magari wakati hawana hata pa kujazia wooote wanajaa Ubungo hapo yaan sijui sisi tumelaaaniwa wapi jamani.

Raslimali zetu wenyewe lakini wajinga sisi tunakwamisha makusudi kwa nia ya kupokea RUSHWA yaani ni mbaya sana!

Mkurugenzi wa EWURA nakuona tu unavyomuona Rais Samia kama hana akili vile!

muda utasema
hujashtuka tu EWURA hawana shida tatizo liko kwa wenye sheli za mafuta hao ndo walioukamata uchumi na wameunda cartels zao.
 
Mwanzoni nlijua ni TPDC pekeyake kumbe shida ni hawa EWURA! wanakwamisha vibali vya kufunga vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye magari.

Kwa sasa Tanzania nzima vituo vilikuwa viwili tu vya kujazia gesi yaani Ubungo na Tazara sasa kituo cha Tazara kikapata hitilafu wakaambiwa warekebishe na wameshakaguliwa na inspector wa Gesi.

Sasa tatizo linakuja kwa hawa EWURA wanazungusha kutoa Kibalii ya kuendelea na kazi wakati kituo kilishakaguliwa na Mtaalamu Dr Rajabu ambaye ndio Last say kwenye ukaguzi! watu wanateseka kituo ni kimoja magari kibao yaan mtu anasubiri mpaka masaa 3 kujaza gesi!

Je, EWURA nao wanamuona mama kama hatishii? wanamchukulia kama mwanamke asiye na uwezo?
maana hata vibali vya kuanzisha vituo vingine vya kujazia gesi bado wamevikalia miaka watu hadi wenye ma sheli waliomba lakini wapiiiii.

Ni aibu kampuni kama TPDC walitumia hela.ya serikali kuwawekea wafanyakazi wao gesi kwenye magari wakati hawana hata pa kujazia wooote wanajaa Ubungo hapo yaan sijui sisi tumelaaaniwa wapi jamani.

Raslimali zetu wenyewe lakini wajinga sisi tunakwamisha makusudi kwa nia ya kupokea RUSHWA yaani ni mbaya sana!

Mkurugenzi wa EWURA nakuona tu unavyomuona Rais Samia kama hana akili vile!

muda utasema
Ndio maana ya regulator. Kama kuna vitu havijakaa sawa? Huyo Dr. Rajabu anakuwaje final say? Uholela ni hatari sana. Msimvutie mama aongoze nchi kiholela. Watu watakufa kwa ajali za moto, huduma feki, bidhaa feki.
 
Mwanzoni nlijua ni TPDC pekeyake kumbe shida ni hawa EWURA! wanakwamisha vibali vya kufunga vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye magari.

Kwa sasa Tanzania nzima vituo vilikuwa viwili tu vya kujazia gesi yaani Ubungo na Tazara sasa kituo cha Tazara kikapata hitilafu wakaambiwa warekebishe na wameshakaguliwa na inspector wa Gesi.

Sasa tatizo linakuja kwa hawa EWURA wanazungusha kutoa Kibalii ya kuendelea na kazi wakati kituo kilishakaguliwa na Mtaalamu Dr Rajabu ambaye ndio Last say kwenye ukaguzi! watu wanateseka kituo ni kimoja magari kibao yaan mtu anasubiri mpaka masaa 3 kujaza gesi!

Je, EWURA nao wanamuona mama kama hatishii? wanamchukulia kama mwanamke asiye na uwezo?
maana hata vibali vya kuanzisha vituo vingine vya kujazia gesi bado wamevikalia miaka watu hadi wenye ma sheli waliomba lakini wapiiiii.

Ni aibu kampuni kama TPDC walitumia hela.ya serikali kuwawekea wafanyakazi wao gesi kwenye magari wakati hawana hata pa kujazia wooote wanajaa Ubungo hapo yaan sijui sisi tumelaaaniwa wapi jamani.

Raslimali zetu wenyewe lakini wajinga sisi tunakwamisha makusudi kwa nia ya kupokea RUSHWA yaani ni mbaya sana!

Mkurugenzi wa EWURA nakuona tu unavyomuona Rais Samia kama hana akili vile!

muda utasema
Mbona mapema sana si mlimuweka makusudi kisa mkewe ni Spika wa Bunge ili alinde madudu yaliyoko Wizara ya nishati,
 
Mwanzoni nlijua ni TPDC peke yake kumbe shida na EWURA ni Shida.

Wanakwamisha vibali vya kufunga vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye magari.

Kwa sasa Tanzania nzima vituo vilikuwa viwili tu vya kujazia gesi yaani Ubungo na Tazara sasa kituo cha Tazara kikapata hitilafu wakaambiwa warekebishe na wameshakaguliwa na inspector wa Gesi.

Sasa tatizo linakuja kwa hawa EWURA wanazungusha kutoa Kibalii ya kuendelea na kazi wakati kituo kilishakaguliwa na Mtaalamu Dr Rajabu ambaye ndio Last say kwenye ukaguzi!

Watu wanateseka kituo ni kimoja magari kibao yaan mtu anasubiri mpaka masaa 3 kujaza gesi!

Hata vibali vya kuanzisha vituo vingine vya kujazia gesi bado wamevikalia miaka watu hadi wenye ma sheli waliomba lakini wapiiiii.

Ni aibu kampuni kama TPDC walitumia hela ya serikali kuwawekea wafanyakazi wao gesi kwenye magari wakati hawana hata pa kujazia wooote wanajaa Ubungo hapo yaan sijui sisi tumelaaaniwa wapi jamani.

muda utasema

Tatizo ni kwamba wenye akili mmewapa wajinga mamlaka ya kuwaamlia maisha yenu.
 
Mwanzoni nlijua ni TPDC peke yake kumbe shida na EWURA ni Shida.

Wanakwamisha vibali vya kufunga vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye magari.

Kwa sasa Tanzania nzima vituo vilikuwa viwili tu vya kujazia gesi yaani Ubungo na Tazara sasa kituo cha Tazara kikapata hitilafu wakaambiwa warekebishe na wameshakaguliwa na inspector wa Gesi.

Sasa tatizo linakuja kwa hawa EWURA wanazungusha kutoa Kibalii ya kuendelea na kazi wakati kituo kilishakaguliwa na Mtaalamu Dr Rajabu ambaye ndio Last say kwenye ukaguzi!

Watu wanateseka kituo ni kimoja magari kibao yaan mtu anasubiri mpaka masaa 3 kujaza gesi!

Hata vibali vya kuanzisha vituo vingine vya kujazia gesi bado wamevikalia miaka watu hadi wenye ma sheli waliomba lakini wapiiiii.

Ni aibu kampuni kama TPDC walitumia hela ya serikali kuwawekea wafanyakazi wao gesi kwenye magari wakati hawana hata pa kujazia wooote wanajaa Ubungo hapo yaan sijui sisi tumelaaaniwa wapi jamani.

muda utasema

=====

21 Aprili 2023: UPDATES KUTOKA EWURA

=====

Tangu 2021 EWURA imetoa leseni za uendeshaji wa vituo vya gas ( CNG) kwa Kampuni za:-

1. Anric-Tazara Dar es Salaam
2. Dangote-Mtwara
3. Pan Africa-Ubungo

Waliopewa vibali vya ujenzi kwa maana wanaendelea na ujenzi ni:-

1. TAQA DALBIT (Airport Dar)
2. Dangote-Mkuranga Pwani
3. TURKEY-Bagamoyo
4. TAQA DALBIT-Dar es Salaam Sam Nujoma road

5. TPDC wapo kwenye mchakatato wa kuomba vibali vya ujenzi wa vituo viwili Dar es Salaam

Hivyo maelezo kwamba EWURA inakwamisha mradi wa gesi kwenye magari si sahihi.

Utaratibu wa kupata vibali vya ujenzi na leseni za kuendesha vituo vya gesi asilia iliyogandamizwa (CNG) huu hapa👇🏾


Gharama za vibali vya ujenzi na leseni hizi hapa👇🏾


Pia, mwenye hoja ama jambo lolote lenye kuhitaji ufafanuzi anaweza kupiga namba ya bure 0800110030 ; Jumatatu hadi Ijumaa saa 2 asubuhi hadi saa 10 jioni

Vilevile ofisi za EWURA zilizopo Dodoma, Dar es Salaam, Mbeya, Arusha na Mwanza zipo wazi na tayari kutoa huduma au ufafanuzi wa suala lolote kuhusu gesi asilia na uendeshaji wa vituo vya CNG na masuala mengine ya udhibiti.
MODS kwa nini mmebadili maneno nikiyoandika? mnambeba nani kwenye hili? kwani ni uongo kuwa EWURA wanamkwamisha Rais Samia kwenye kutoa vibali vya Gesi ?

wadau kibao wameomba vibali ila EWURA wamezingua!

badala ya kuhamasisha wao wanavuruga! kuna maeneo mengi yenye uhitaji kama KIBAHA na KIGAMBONI, morogoro na dodoma! Mkurugenzi kama umechoka sepa
 
Back
Top Bottom