Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kama mkasi wako hauna makali, ntakuruhusu utumie meno.babu si ninaskia umefuga dreads... zitapunguzika kweli hizo? lol
Kama mkasi wako hauna makali, ntakuruhusu utumie meno.babu si ninaskia umefuga dreads... zitapunguzika kweli hizo? lol
Nikikutongoza ukanikubalia usinilaumu. Wengine tuna digrii ya heshima kwenye utongozaji...
sumu yamke wa mtu haiui panya inaua binadamu kama wewe
sasa kwann uwanyooshee vidole wenzio na kusema hawana heshima?
Madame B................ kwani kuolewa kuna faida gani ambazo zitamhamasisha ambaye hajaolewa awe huru kukueleza kwa nini hajaolewa mpaka sasa?[/QUOTE
faida yake utendi zambi ,unakula kitu kitakatifu, ambacho Mora mwenyewe anapenzwa
wapo wanaokula hilo tunda takatifu na wanajutia kuolewa. hicho ni kitu cha ziada sana .cha maana upate mtu sahihi wa kufanana nae ktk mambo fulani muelewane na upendo wa dhati.japo siku hizi watu wanaolewa kufata mkumbo
Eti amu, hebu njoo pande hii..... Huyu tabibu ana jeuri ya kukataa tongozo langu? Hebu mkumbushe nlivopata shida ya kumkimbia mke wa Museven
Ni vile tu niko kwenye novena, ningeanza kazi yangu wallah ungenizalia mtoto wa kikehahahaaa, jeuri ninayo tena KUUBWA, na ukinitongoza mimi usipo kata tamaa basi utalia lol!!!!!
Ndio jibu hilo?aiseeee
Kamani hivyo siitaki, nitanunua ya dukani sh.100
Ni vile tu niko kwenye novena, ningeanza kazi yangu wallah ungenizalia mtoto wa kike
Mie sijaolewa kwa sababu umri.haujaniruhusu...