Ewe Mdada, kwa nini mpaka leo bado hujaolewa?

Ewe Mdada, kwa nini mpaka leo bado hujaolewa?

hhhhhhhaaaahha!!! sasa kama hamna aliyenificha utaning'oa mimi au?. nipo mpwapwa babu. karibu sana.
Kama hakuna aliyekuficha basi Mpwapwa hakuna wanaume, kuna vivulana. Mrembo kama wewe wanakuangalia tuuuuu.... Pumbaf zao na robo!
 
inafika babu tena fanya fasta kabla TRA hawajaanza makato yao ya 10%. lol. namba yangu ile ile eeeehhhhh!
Ngoja nipande juu ya mnazi. Si unajua niko Mafia? Sasa huu msuli nlouvaa, ikitokea ajali ntafanyaje?
 
Sasa kama umeolewa unafanya gani hapa?

Hii ni thread ya ambao hawajaolewa. Wengine tuko kimaslahi zaidi.... Nyumba ndogo zinahuuu...

Haya tambaa zako, mke wa mtu sumu.

Ninapanya ananirumbua sana nitaipata sumu
 
Back
Top Bottom