Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,275
Last edited by a moderator:
Madame B................ kwani kuolewa kuna faida gani ambazo zitamhamasisha ambaye hajaolewa awe huru kukueleza kwa nini hajaolewa mpaka sasa?
Kuolewa ni nini?
Na, je mtu anaolewa sababu anaolewa au anaolewa sababu kapata right partner?
Mjukuu mwenzangu Kongosho, hv unajua unaweza kukutana na wanaume ambao wanakutoa thamani eti kisa hujaolewa?
Kuolewa si sheria, bali humletea heshima mwanamke kwa kum-define tabia yake ya ujumla...lol!
Msome MwanajamiiOne hapo above.
Hata babu yetu mkali Dark City analitambua hilo na ndio maana kanunua bunduki ya kutulinda.
Madame B................ kwani kuolewa kuna faida gani ambazo zitamhamasisha ambaye hajaolewa awe huru kukueleza kwa nini hajaolewa mpaka sasa?
Kuolewa ni nini?
Na, je mtu anaolewa sababu anaolewa au anaolewa sababu kapata right partner?
Swali lilikuwa short and clear...... Na mtoa mada kafundisha namna ya kujibu....
Sasa angalia mitanzania inavyojibu sasa..... Khaaa!!
Nyie mademu, jibuni swali siyo mnaulizauliza.
Ndo mjue nimekasirika leo.
kama umekasirika nenda kalale tu babu yangu, usije ukatoka mvi za down buree
Thats my girl. Afu unajua nimekumisije?waoaji majanga matupu...
kama umekasirika nenda kalale tu babu yangu, usije ukatoka mvi za down buree
Thats my girl. Afu unajua nimekumisije?
babu unanitenga mjukuu wako! au vile nimekataa kukaguliwa???!! lol. miss u too my babu.
jibu swali, kwanini hujaolewa??
Sijakutenga mjukuu wangu......... Huyo aliyekuficha mwambie nikimwona namng'oa meno kwa bisibisi....Shenzy zake na robo!!
Hivi bado uko Mpwapwa au umesogeasogea kidogo?
Sasa kama umeolewa unafanya gani hapa?nimeolewa!!!!!!!!