The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,300
Hii ni maalumu kwa hustlers yaani vijana wapambanajj wenye ndoto zao za kufika mbali kimaisha, Kuna vitu lazima ukate minyororo ili upate utulivu wa akili katika kufanya Mipango yako....
Miaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Huu ni umri ambao unatakiwa uachane na unnecessary destructions ambazo zinaweza kukupotezea mwelekeo wako.....usichoke kutafuta na kujaribu njia mbalimbali kufikia malengo yako......maisha siyo rahisi kihivyo.....inahitaji kujituma kwelikweli
Imagine kuna vijana hadi saa 6 usiku yuko macho anaangalia gemu sijui arsenal mara liver. Huo mda unautoa wapi wewe kijana mpambansaji utakufa kapuku.....Mpira ni occasionally tu labda uko sehemu umekaa na Mitikasi yako afu kuna gemu inaendelea fine.
Usikubali kuvunja ratiba na Mipango yako ya siku kisa mpira au appointment na pisi kali haya mambo yanatakiwa yaje mwisho baada ya Mipango ya msingi kukamilika
Mpira, mapenzi na social media za hovyo usikubali zikapora muda wako hata kidogo...tumia weekend kuangalia mipango yako ya week Imeendaje usahihishe wapi na itakuwaje kwa next week...
Mambo ni mengi ila ni hayo tu kwa leo....."USIKATE TAMAA MAKOSA KATIKA KUJARIBU LEO YATAKUFANYA UWE BORA ZAIDI KESHO"..
The burning spear
Miaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Huu ni umri ambao unatakiwa uachane na unnecessary destructions ambazo zinaweza kukupotezea mwelekeo wako.....usichoke kutafuta na kujaribu njia mbalimbali kufikia malengo yako......maisha siyo rahisi kihivyo.....inahitaji kujituma kwelikweli
Imagine kuna vijana hadi saa 6 usiku yuko macho anaangalia gemu sijui arsenal mara liver. Huo mda unautoa wapi wewe kijana mpambansaji utakufa kapuku.....Mpira ni occasionally tu labda uko sehemu umekaa na Mitikasi yako afu kuna gemu inaendelea fine.
Usikubali kuvunja ratiba na Mipango yako ya siku kisa mpira au appointment na pisi kali haya mambo yanatakiwa yaje mwisho baada ya Mipango ya msingi kukamilika
Mpira, mapenzi na social media za hovyo usikubali zikapora muda wako hata kidogo...tumia weekend kuangalia mipango yako ya week Imeendaje usahihishe wapi na itakuwaje kwa next week...
Mambo ni mengi ila ni hayo tu kwa leo....."USIKATE TAMAA MAKOSA KATIKA KUJARIBU LEO YATAKUFANYA UWE BORA ZAIDI KESHO"..
The burning spear