Wakikwambia wako tayari kukupenda na umaskini wako kataa kabisa huo mtego, watakusumbua mbeleni

Feb 4, 2024
67
204
WAKIKWAMBIA WAKO TAYARI KUKUPENDA NA UMASKINI WAKO KATAA KABISA HUO MTEGO,WATAKUSUMBUA MBELENI

Zipo kauli kuwa mapenzi sio pesa bali ni upendo tu wa moyo ndio unaamua mapenzi, hii ni kweli lakini sio kweli kwamba pesa haitakiwi mwenye mahusiano.

Usijazwe kichwa kwa maneno kuwa atakupenda tu jinsi ulivyo na umaskini wako ukaacha kutafuta pesa ukijua tayari unapendwa maana hutaamini kitakachokukuta.

Wanavyokwambia watakupenda tu jinsi ulivyo huwa kauli hiyo haidumu sana na ukitumia jicho la tatu kuichunguza kauli hiyo utagundua kuwa anayekwambia katumia busara kubwa kukwambia tafuta hela kwa lugha isiyo umiza kwani muda mfupi tu baada ya kauli hiyo utaanza kuombwa vitu vinavyohitaji pesa na hapo ndipo utagundua kumbe pesa bado ni muhimu kwenye mahusiano.

Maskini wanalalamika sana kwenye mahusiano na ukiwasikiliza vizuri sababu kubwa ni moja wameachwa kwa sababu hawana hela au wamesalitiwa kwa sababu hawana hela yaani wenye hela wamewachukulia wapenzi wao.

Kama kijana huatakiwi kujitetea sana kuwa upendwe na umaskini wako hiyo ni hatari sana kwa afya yako wewe tafuta tu pesa na iwe kazi kwake kukupenda ulivyo ama akuache na pesa zako.

Pesa sio kitu cha kwanza kwenye mahusiano ila pia umaskini sio sifa nzuri kwenye mahusiano hivyo pesa iwepo na umaskini utoweke ndio sababu nyingine za kukoleza mapenzi zifanye kazi.

Ukiona wanakwambia watakupenda tu ulivyo kataa huo mtego.

Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
 
WAKIKWAMBIA WAKO TAYARI KUKUPENDA NA UMASKINI WAKO KATAA KABISA HUO MTEGO,WATAKUSUMBUA MBELENI

Zipo kauli kuwa mapenzi sio pesa bali ni upendo tu wa moyo ndio unaamua mapenzi, hii ni kweli lakini sio kweli kwamba pesa haitakiwi mwenye mahusiano.

Usijazwe kichwa kwa maneno kuwa atakupenda tu jinsi ulivyo na umaskini wako ukaacha kutafuta pesa ukijua tayari unapendwa maana hutaamini kitakachokukuta.

Wanavyokwambia watakupenda tu jinsi ulivyo huwa kauli hiyo haidumu sana na ukitumia jicho la tatu kuichunguza kauli hiyo utagundua kuwa anayekwambia katumia busara kubwa kukwambia tafuta hela kwa lugha isiyo umiza kwani muda mfupi tu baada ya kauli hiyo utaanza kuombwa vitu vinavyohitaji pesa na hapo ndipo utagundua kumbe pesa bado ni muhimu kwenye mahusiano.

Maskini wanalalamika sana kwenye mahusiano na ukiwasikiliza vizuri sababu kubwa ni moja wameachwa kwa sababu hawana hela au wamesalitiwa kwa sababu hawana hela yaani wenye hela wamewachukulia wapenzi wao.


Kama kijana huatakiwi kujitetea sana kuwa upendwe na umaskini wako hiyo ni hatari sana kwa afya yako wewe tafuta tu pesa na iwe kazi kwake kukupenda ulivyo ama akuache na pesa zako.

Pesa sio kitu cha kwanza kwenye mahusiano ila pia umaskini sio sifa nzuri kwenye mahusiano hivyo pesa iwepo na umaskini utoweke ndio sababu nyingine za kukoleza mapenzi zifanye kazi .

Ukiona wanakwambia watakupenda tu ulivyo kataa huo mtego

Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
Utampata wapi asio penda pesa kwa hiki kuzazi cha 2000s loh watoto wanapenda pesa kuliko chochote.
 
U
WAKIKWAMBIA WAKO TAYARI KUKUPENDA NA UMASKINI WAKO KATAA KABISA HUO MTEGO,WATAKUSUMBUA MBELENI

Zipo kauli kuwa mapenzi sio pesa bali ni upendo tu wa moyo ndio unaamua mapenzi, hii ni kweli lakini sio kweli kwamba pesa haitakiwi mwenye mahusiano.

Usijazwe kichwa kwa maneno kuwa atakupenda tu jinsi ulivyo na umaskini wako ukaacha kutafuta pesa ukijua tayari unapendwa maana hutaamini kitakachokukuta.

Wanavyokwambia watakupenda tu jinsi ulivyo huwa kauli hiyo haidumu sana na ukitumia jicho la tatu kuichunguza kauli hiyo utagundua kuwa anayekwambia katumia busara kubwa kukwambia tafuta hela kwa lugha isiyo umiza kwani muda mfupi tu baada ya kauli hiyo utaanza kuombwa vitu vinavyohitaji pesa na hapo ndipo utagundua kumbe pesa bado ni muhimu kwenye mahusiano.

Maskini wanalalamika sana kwenye mahusiano na ukiwasikiliza vizuri sababu kubwa ni moja wameachwa kwa sababu hawana hela au wamesalitiwa kwa sababu hawana hela yaani wenye hela wamewachukulia wapenzi wao.


Kama kijana huatakiwi kujitetea sana kuwa upendwe na umaskini wako hiyo ni hatari sana kwa afya yako wewe tafuta tu pesa na iwe kazi kwake kukupenda ulivyo ama akuache na pesa zako.

Pesa sio kitu cha kwanza kwenye mahusiano ila pia umaskini sio sifa nzuri kwenye mahusiano hivyo pesa iwepo na umaskini utoweke ndio sababu nyingine za kukoleza mapenzi zifanye kazi .

Ukiona wanakwambia watakupenda tu ulivyo kataa huo mtego

Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
Umaskini siyo sifa njema, Kataa Umaskini daima!
 
WAKIKWAMBIA WAKO TAYARI KUKUPENDA NA UMASKINI WAKO KATAA KABISA HUO MTEGO,WATAKUSUMBUA MBELENI

Zipo kauli kuwa mapenzi sio pesa bali ni upendo tu wa moyo ndio unaamua mapenzi, hii ni kweli lakini sio kweli kwamba pesa haitakiwi mwenye mahusiano.

Usijazwe kichwa kwa maneno kuwa atakupenda tu jinsi ulivyo na umaskini wako ukaacha kutafuta pesa ukijua tayari unapendwa maana hutaamini kitakachokukuta.

Wanavyokwambia watakupenda tu jinsi ulivyo huwa kauli hiyo haidumu sana na ukitumia jicho la tatu kuichunguza kauli hiyo utagundua kuwa anayekwambia katumia busara kubwa kukwambia tafuta hela kwa lugha isiyo umiza kwani muda mfupi tu baada ya kauli hiyo utaanza kuombwa vitu vinavyohitaji pesa na hapo ndipo utagundua kumbe pesa bado ni muhimu kwenye mahusiano.

Maskini wanalalamika sana kwenye mahusiano na ukiwasikiliza vizuri sababu kubwa ni moja wameachwa kwa sababu hawana hela au wamesalitiwa kwa sababu hawana hela yaani wenye hela wamewachukulia wapenzi wao.


Kama kijana huatakiwi kujitetea sana kuwa upendwe na umaskini wako hiyo ni hatari sana kwa afya yako wewe tafuta tu pesa na iwe kazi kwake kukupenda ulivyo ama akuache na pesa zako.

Pesa sio kitu cha kwanza kwenye mahusiano ila pia umaskini sio sifa nzuri kwenye mahusiano hivyo pesa iwepo na umaskini utoweke ndio sababu nyingine za kukoleza mapenzi zifanye kazi .

Ukiona wanakwambia watakupenda tu ulivyo kataa huo mtego

Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
Well!
Umejitahidi kuongea vema japo Kuna vitu umesahau (aidha kwa kutojua au umeamua tu kuvipuuza ili uwasilishe mawazo yako).

Binti anapoamua kumkubali mwanaume katika hali ngumu ya kiuchumi aliyonayo m/ume husika, sioni kosa hapo na Wala si mtego ..

Ikumbukwe kuwa, Katika mapenzi halisi (achana na haya ya kisasa yaliyofanywa kuwa biashara), Pesa au mali haijawahi kuwa sababu ya kuwafanya watu wapendane..

Ikiwa upo na Binti kwa mahusiano eti kwa sababu tu una pesa, wewe ndio umenasa mtegoni. Hapa utakuwa unatafuta pesa with a pressure kuhakikisha Binti hakuachi (Umeliwa mkuu).

PESA inapasa kutafutwa kwa juhudi zote, si ili kumfanya binti akupende (Hell no!), Bali ili uwe na uwezo wa kuyamudu kikamilifu mahitaji yako, ya familia na uwe na uwezo wa kuwasaidia wengine.

Nikukumbushe pia kuwa, tunaishi kwenye maisha yenye a lot of dynamics, nothing is static; Utakuwa na pesa Leo, kesho hauna (If this happens, kwa mujibu wako penzi linakufa). That was not Love mkuu, It was a business.

My note:
Ni sahihi kabisa binti kukuambia kuwa anakupenda pamoja na umasikini wako! Hakuna mtego hapo.

Kazi kwako wewe unayeambiwa; Pambana utoke kwenye umasikini.
Mwanamume Halisi lazima apambane kutoka kwenye Hali ngumu aliyonayo.
 
WAKIKWAMBIA WAKO TAYARI KUKUPENDA NA UMASKINI WAKO KATAA KABISA HUO MTEGO,WATAKUSUMBUA MBELENI

Zipo kauli kuwa mapenzi sio pesa bali ni upendo tu wa moyo ndio unaamua mapenzi, hii ni kweli lakini sio kweli kwamba pesa haitakiwi mwenye mahusiano.

Usijazwe kichwa kwa maneno kuwa atakupenda tu jinsi ulivyo na umaskini wako ukaacha kutafuta pesa ukijua tayari unapendwa maana hutaamini kitakachokukuta.

Wanavyokwambia watakupenda tu jinsi ulivyo huwa kauli hiyo haidumu sana na ukitumia jicho la tatu kuichunguza kauli hiyo utagundua kuwa anayekwambia katumia busara kubwa kukwambia tafuta hela kwa lugha isiyo umiza kwani muda mfupi tu baada ya kauli hiyo utaanza kuombwa vitu vinavyohitaji pesa na hapo ndipo utagundua kumbe pesa bado ni muhimu kwenye mahusiano.

Maskini wanalalamika sana kwenye mahusiano na ukiwasikiliza vizuri sababu kubwa ni moja wameachwa kwa sababu hawana hela au wamesalitiwa kwa sababu hawana hela yaani wenye hela wamewachukulia wapenzi wao.

Kama kijana huatakiwi kujitetea sana kuwa upendwe na umaskini wako hiyo ni hatari sana kwa afya yako wewe tafuta tu pesa na iwe kazi kwake kukupenda ulivyo ama akuache na pesa zako.

Pesa sio kitu cha kwanza kwenye mahusiano ila pia umaskini sio sifa nzuri kwenye mahusiano hivyo pesa iwepo na umaskini utoweke ndio sababu nyingine za kukoleza mapenzi zifanye kazi.

Ukiona wanakwambia watakupenda tu ulivyo kataa huo mtego.

Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
Siku hizi kwenye mahusiano hapendwi mtu, inapendwa pochi
 
Well!
Umejitahidi kuongea vema japo Kuna vitu umesahau (aidha kwa kutojua au umeamua tu kuvipuuza ili uwasilishe mawazo yako).

Binti anapoamua kumkubali mwanaume katika hali ngumu ya kiuchumi aliyonayo m/ume husika, sioni kosa hapo na Wala si mtego ..

Ikumbukwe kuwa, Katika mapenzi halisi (achana na haya ya kisasa yaliyofanywa kuwa biashara), Pesa au mali haijawahi kuwa sababu ya kuwafanya watu wapendane..

Ikiwa upo na Binti kwa mahusiano eti kwa sababu tu una pesa, wewe ndio umenasa mtegoni. Hapa utakuwa unatafuta pesa with a pressure kuhakikisha Binti hakuachi (Umeliwa mkuu).

PESA inapasa kutafutwa kwa juhudi zote, si ili kumfanya binti akupende (Hell no!), Bali ili uwe na uwezo wa kuyamudu kikamilifu mahitaji yako, ya familia na uwe na uwezo wa kuwasaidia wengine.

Nikukumbushe pia kuwa, tunaishi kwenye maisha yenye a lot of dynamics, nothing is static; Utakuwa na pesa Leo, kesho hauna (If this happens, kwa mujibu wako penzi linakufa). That was not Love mkuu, It was a business.

My note:
Ni sahihi kabisa binti kukuambia kuwa anakupenda pamoja na umasikini wako! Hakuna mtego hapo.

Kazi kwako wewe unayeambiwa; Pambana utoke kwenye umasikini.
Mwanamume Halisi lazima apambane kutoka kwenye Hali ngumu aliyonayo.
Nimekuelewa pia maoni yako
 
WAKIKWAMBIA WAKO TAYARI KUKUPENDA NA UMASKINI WAKO KATAA KABISA HUO MTEGO,WATAKUSUMBUA MBELENI

Zipo kauli kuwa mapenzi sio pesa bali ni upendo tu wa moyo ndio unaamua mapenzi, hii ni kweli lakini sio kweli kwamba pesa haitakiwi mwenye mahusiano.

Usijazwe kichwa kwa maneno kuwa atakupenda tu jinsi ulivyo na umaskini wako ukaacha kutafuta pesa ukijua tayari unapendwa maana hutaamini kitakachokukuta.

Wanavyokwambia watakupenda tu jinsi ulivyo huwa kauli hiyo haidumu sana na ukitumia jicho la tatu kuichunguza kauli hiyo utagundua kuwa anayekwambia katumia busara kubwa kukwambia tafuta hela kwa lugha isiyo umiza kwani muda mfupi tu baada ya kauli hiyo utaanza kuombwa vitu vinavyohitaji pesa na hapo ndipo utagundua kumbe pesa bado ni muhimu kwenye mahusiano.

Maskini wanalalamika sana kwenye mahusiano na ukiwasikiliza vizuri sababu kubwa ni moja wameachwa kwa sababu hawana hela au wamesalitiwa kwa sababu hawana hela yaani wenye hela wamewachukulia wapenzi wao.

Kama kijana huatakiwi kujitetea sana kuwa upendwe na umaskini wako hiyo ni hatari sana kwa afya yako wewe tafuta tu pesa na iwe kazi kwake kukupenda ulivyo ama akuache na pesa zako.

Pesa sio kitu cha kwanza kwenye mahusiano ila pia umaskini sio sifa nzuri kwenye mahusiano hivyo pesa iwepo na umaskini utoweke ndio sababu nyingine za kukoleza mapenzi zifanye kazi.

Ukiona wanakwambia watakupenda tu ulivyo kataa huo mtego.

Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
Masikini huchukiwa hata na ndugu zake, ndio sembuse hawa kausha damu?. Hakuna mahali maskini atasalimika, maana hata mawazo na hekima yake hakuna anayeweza kuisikiliza.
 
usiwasikilize njoo bwan nitakupenda na umaskini wakoata mm maskin ndege wanaofanana huruka pa1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom