European Parliament resolution on Tanzania

Hawa EU ni waongo hawa, hapa wanadai balozi wao alilazimishwa kuondoka nchini, waka Balozi Mahiga alisema ukweli kuwa hakufukuzwa bali aliitwa Nyumbani.

Hata ukisema ukweli kwa asilimia 99%, ukichomekea hoja moja tuu ya uongo, uongo huo una discredit zile kweli zote 99 na kufanya hoja zote zionekane ni uongo mtupu, na hoja hizi ndizo zinazotumika kisheria kwa kuitwa the benefits of doubt kumaanisha ukweli lazima uwe ni kweli tupu beyond the reasonable doubt, na kukitokea mashaka yoyote, mtuhumiwa anapewa na the benefits of doubt.

Sasa hapa nani mkweli na nani muongo, haiwezekani wote wawe wakweli au wote wawe waongo. Watanzania tumwamini nani kati ya EU na Waziri Wetu Balozi Mahiga?.

P.
Wanajaribu kulipakaa matope taifa letu kwa nguvu sana, hadi kumuondoa Balozi wao na kusingizia amefukuzwa. Ni vema wananchi tufumbue macho kutazama hizi siasa za kimataifa zinavyoenda baada ya kuwapiga pini katika mianya yao ya kutunyonya.
 
kama nyie mlivyo emotional na mambo ya demokrasia yasio na msingi sana zaidi ya maendeleo ya kiuchumi ya nchi yanayofanywa na serikali ya hapa kazi ya awamu ya tano.

Wewe ni Maharo,synonymous na uharo!

Uchumi bila demokrasia na uhuru ni upumbavu.....Kama ni muhimu ni heri tungebaki na mkoloni tuchape viboko tupate magorofa!

Wewe ni mtu wa ajabu kabisa....Una-compare "UHURU" na "UCHUMI" wa kidikteta?

Hivi mzima kweli wewe?Really?

What kind of shitty thinking is this bro?

We are in deep shit with these kind of CCM people!
 
Wewe ni Maharo,synonymous na uharo!

Uchumi bila demokrasia na uhuru ni upumbavu.....Kama ni muhimu ni heri tungebaki na mkoloni tuchape viboko tupate magorofa!

Wewe ni mtu wa ajabu kabisa....Una-compare "UHURU" na "UCHUMI" wa kidikteta?

Hivi mzima kweli wewe?Really?

What kind of shitty thinking is this bro?

We are in deep shit with these kind of CCM people!
:D:D:D:D punguza hasira kidogo akili ikukae sawa.
 
Kweli mkuu,binafsi wala siwapingi kwa wanachoituhumu srikali yetu,ukakasi unakuja kwann ukomalie kwetu tu jambo hili while kuna nchi zingine hali ni mbaya zaidi ya hapa kwetu,kwa jicho la mbali rais wetu inabidi awe makini sana ktk hili

Mkuu ingependeza ukatumia neno “wangu” badala ya wetu hapo baada ya neno jiwe
 
Tusipofanya watatufanya nini? Kweli Bunge la Ulaya linatawala Tanzania?

Nachojua sisi ni wanachama wa jumuia ya umoja wa kimataifa UNO na sio EU. EU sisi inatuhusu nini?

Nyie nafikiri mtambabaisha nani? Magufuli?

Akili zenu ziko matakoni. Mnashindwa kutambua function ya EU. Kama Tanazania inakiuka haki za binadam wampeleke Rais wetu basi in The Hague. Si walifanya hivyo baada ya uchaguzi? Waliishia wapi?

Kama Tanzania ingekuwa inakiuka haki za binadam UNO si ingeingilia kati na kulaani kitendo hicho na kutuma vyombo vinavyo husika kuja kufanya mashauriano na serikali na kama tusinge acha UNO ingepitisha Azimio lolote zidi ya nchi yetu na sio EU. Mbona Kenya walifanya hivyo?

Kila mara nasikia EU EU EU EU EU EU EU EU mbona si sikii UNO UNO UNO UNO UNO UNO. What is EU?

Mnaamini kweli member states za EU zitumie maelfu yao ya pesa kuitisha kikako ili kuijadili Tanzania? Wamepata wapi mamlaka hayo? Kwa misingi ipi? Kwani nchi yetu ni member state ya EU?
Kada mwingine huyu ukishavaa shati la kijani tu lazima urukwe na akili
 
Naomba mwenye audio clip ya maneno ya marehemu kingunge pale Ruandanzovwe mbeya cjui alisema msipeleke nini ikulu ?
 
Mkuu, huyo unaejaribu kumpa uelewa hawezi kukuelewa ng'oo, hapo ndipo iq yake ilipoishia, usimjaze zaidi atapata kifafa cha ubongo, hebu soma comments zake itajua nini nakwambia
Ahsante mkuu. Wakati mwingine inalazimu kuwashindilia ukweli huenda siku moja wataukubali.
 
Nimejaribu kuangalia katika tamko la EU kama wametaja mauaji ya askari, watendaji wa Serikali, na raia wengine huko kibiti sijaona.

Nashindwa kuelewa kama hawa hawana haki ya kutetewa na EU.

Ni Mashoga tu?
 
Wewe ni Maharo,synonymous na uharo!

Uchumi bila demokrasia na uhuru ni upumbavu.....Kama ni muhimu ni heri tungebaki na mkoloni tuchape viboko tupate magorofa!

Wewe ni mtu wa ajabu kabisa....Una-compare "UHURU" na "UCHUMI" wa kidikteta?

Hivi mzima kweli wewe?Really?

What kind of shitty thinking is this bro?

We are in deep shit with these kind of CCM people!
Nadhan hawa vibaraka wa ccm hawana vichwa ni shingo tuu zinaelea ...

Ni amazing species i have never seen
 
Hili litoshe kumjulisha kuwa ipo siku Taifa litapata challenge inayotaka umoja wa kitaifa kulitatua lakini kwa kuwa watu wameminywa, wamegawanyika wanaona hata huo wito wa kuunganisha nguvu kwa ajili ya kupambana kwa pamoja kuondoa tatizo husika hauna maana!.

Kama haya hawayajui, basi hatuna viongozi kabisa. Taifa lolote, kama wananchi wake wamefaraganyika ni rahisi sana kuingiliwa na maadui. Hili linajulikana dunia kote. Wao wanaishi dunia ya aina gani.

Lakini mimi hawa wakubwa ningewaomba jambo moja tu watusaidie sisi waTanzania. Hayo yoote waliyoyaorodhesha ikiwemo na huo usenge wangetuachia sisi wenyewe tuyatafutie ufumbuzi.
Jambo moja tu ningeomba sana watusaidie: Uhakika wa kuwepo uchaguzi huru kabisa hapo 2020, na hizo chaguzi zinazokuja 2019.
Watusaidie, kwa njia yoyote inayowezekana tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya chaguzi hizo.


Hayo mengine ni kazi yetu kuyafanyia kazi tukishakuwa na viongozi tuliowachagua huru kabisa bila ya kushinikizwa na yeyote.
 
Back
Top Bottom