European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

Mtabaki na hayo maazimio yenu ya wazungu na 2020 mnapigwa tena chini baada ya kuzungusha mikono na kupiga deki barabara.

Then tukishapigwa chini wewe utafaidika na nini pale uhuru wa watu utakavyozidi kuminywa, udikteta kutamalaki, vyombo vya habari kuminywa, watu kuzidi kupotea, na ukatili kuota pembe?

By the Way, NEC yenu, Polisi wenu, Usalama wenu, Vifaru vyenu, Sasa cha ajabu nini hata mkijipa asilimia 99 ya ushindi?
 
Then tukishapigwa chini wewe utafaidika na nini pale uhuru wa watu utakavyozidi kuminywa, udikteta kutamalaki, vyombo vya habari kuminywa, watu kuzidi kupotea, na ukatili kuota pembe?

By the Way, NEC yenu, Polisi wenu, Usalama wenu, Vifaru vyenu, Sasa cha ajabu nini hata mkijipa asilimia 99 ya ushindi?
Tegemeeni hao wazungu wenu ili mshike dola, ha ha ha.
 
Huyu mtu wamtenge tu mpaka atakapojirekebisha.

Kwa mtazamo wangu,haya maazimio ni kama mtego na akiendelea na kiburi chake,basi ajue tu watakwenda zaidi ya hapa.

Na tujue tu US watawaunga mkono EU.
Marekani kaandaa nyambizi kubwa ipo njiani inasogea itakuja mpaka feri chini kwa chini kufanya upelelezi wake kabla mtukufu hajahamia Dodoma
 
"Tujitahidi na tuanze kwa kujiuliza, Je, yanayosemwa ni ya kweli ama tunasingiziwa kama Taifa? Kama ni ya kweli; basi ni suala ya kuyafanyia Marekebisho maana tumesaini Mikataba mingi ya Kimataifa inayohusu Haki za Binadamu. Hapa sio EU na USA wanaotubana, bali ni Mikataba husika tuliyokubali kuingia na Mataifa hayo ambayo kimsingi ndio Wanachama wenzetu". Amesema Shehe huyo.

Naye Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) Onesmo Ole Ngurumwa amesema, Bunge la EU limetoa azimio hilo kwa sababu nao ni sehemu ya Wadau wa Maendeleo ya Nchi yetu na ni haki ya Taifa lolote kukemea ukiukwaji wa Haki za Binadamu unapojitokeza katika Nchi ama Taifa lingine.
" Kama sisi imeshindikana kusikilizwa, basi ni sahihi kupata Ushirikiano wa Nchi hizo. Na Maazimio hayo sio kuingilia Uhuru wetu, ila Serikali ijitafakari kwani ni kweli Uhuru na Haki ya kujieleza vinabanwa na wakosoaji wanakutana na hali mbaya". Amesema Ole Ngurumwa.
Nijuavyo mm Hana uthubutu huo isije kuwa umemlisha maneno
 
"Tujitahidi na tuanze kwa kujiuliza, Je, yanayosemwa ni ya kweli ama tunasingiziwa kama Taifa? Kama ni ya kweli; basi ni suala ya kuyafanyia Marekebisho maana tumesaini Mikataba mingi ya Kimataifa inayohusu Haki za Binadamu. Hapa sio EU na USA wanaotubana, bali ni Mikataba husika tuliyokubali kuingia na Mataifa hayo ambayo kimsingi ndio Wanachama wenzetu". Amesema Shehe huyo.

Naye Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) Onesmo Ole Ngurumwa amesema, Bunge la EU limetoa azimio hilo kwa sababu nao ni sehemu ya Wadau wa Maendeleo ya Nchi yetu na ni haki ya Taifa lolote kukemea ukiukwaji wa Haki za Binadamu unapojitokeza katika Nchi ama Taifa lingine.
" Kama sisi imeshindikana kusikilizwa, basi ni sahihi kupata Ushirikiano wa Nchi hizo. Na Maazimio hayo sio kuingilia Uhuru wetu, ila Serikali ijitafakari kwani ni kweli Uhuru na Haki ya kujieleza vinabanwa na wakosoaji wanakutana na hali mbaya". Amesema Ole Ngurumwa.
Safi sana sheikh.
 
Ngojeni 2020 mpate fursa nyingine ya kuzungusha mikono na kufagia barabara.

Hakuna haja, Tangazeni tu kuwa hakuna uchaguzi mwaka 2020 na muendelee kutawala, au jitangazeni kushinda asilimia 99 saa tano asubuhi hata kabla kura hazijahesabiwa sisi tutatii tu maana tutawafanya nini?. Kama Akwilina aliyekuwa kajikalia zake ndani ya basi kapigwa risasi sisi tuna ubavu gani wa kusema su mbele ya vifaru na mizinga?
 
Back
Top Bottom