Habari za Asubuhi wanaJF na watanzania kwa ujumla.
"Tusimame ili tuhesabiwe"
Katika kutafuta taarifa hapa na pale ili kujibu hoja zinazotolewa na baadhi ya wadau humu jamvini eti Sisi tunashambulia Sana Issue ya Ushoga badala ya hoja nyingine nimekutana na Ushahidi usio na shaka kwamba waliowasilisha na kuupigia kura muswada au motion kuhusu resolutions za EU kwa Tanzania ni wabunge wa EU parliement ambao ni kundi au muungano wa wabunge watetezi wa mashoga.
Hivyo ni wazi kuwa resolutions hizi zimeandaliwa kwa niaba ya watetea ushoga.
Hii ni kadhia na aibu ya mwaka kwa EU kutaka kutulazimishia Ushoga.
Hapa Chini nitaweka link ya orodha ya wabunge na vyama hivyo vya utetezi wa Ushoga.
Pia nitaweka link ya Wabunge au vyama vilivyowasilisha na kuipitisha hiyo motion kwa kishindo.
MWISHO
Watanzania hasa vijana tusimame imara sana na tujilinde na kubakia na "marinda"
Ushoga utalazimishwa kwa njia mbalimbali lakini tusimamie maadili ya Taifa.
Joint motion for a resolution on Tanzania - RC-B8-0570/2018
European Parliament Intergroup on LGBT Rights - Wikipedia
pascall Mayalla
FTP Mwanahabari Huru Mzee Mwanakijiji BAK