European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

Hii ndio nafasi ya kuonyesha umahiri wenu wa hoja. Tumeshagawanyika hivyo hakuna kitu cha kutuunganisha against adui. Msaidieni mnaempenda kwa kumpa point sio kupiga tambo eti mabeberu etc.
Swala la kugawanyika hilo lipo tu hasa kwa nchi zenye mfumo wa vyama vipi.Mzungu hadi kamuingilia mwafrika jua tayar kaweka mazingira ya kuwagawa. Mimi naamini mfumo wa vyama vingi ndio chanzo kikuu cha vita kwa nchi nyingi za Afrika. Leo chadema wote wanaombea Jpm afeli kwa namna yyt ile.Itakua ni ajabu kwa bavicha kuhuzunika eti jpm kawekewa vikwazo na jumuhiya za kimataifa.
 
Papaa Mobimba, Tenda kubwa unawapa waarabu Egypt wa China na wa Russia....wewe c unajiona mzee wa visasi..... sasa mabingwa wa visasi wako mlagoni kwako kwa kila aina ya visingizio (human rights) jirekebishe bwana mkuu huwezi kuwashinda wale
unanikumbusha mkwala waliopigwa rwanda kisa wanataka kuacha importation ya mitumba
 
Swala la kugawanyika hilo lipo tu hasa kwa nchi zenye mfumo wa vyama vipi.Mzungu hadi kamuingilia mwafrika jua tayar kaweka mazingira ya kuwagawa. Mimi naamini mfumo wa vyama vingi ndio chanzo kikuu cha vita kwa nchi nyingi za Afrika. Leo chadema wote wanaombea Jpm afeli kwa namna yyt ile.Itakua ni ajabu kwa bavicha kuhuzunika eti jpm kawekewa vikwazo na jumuhiya za kimataifa.
your wrong, mbona jk operation against m23 tulikuwa pamoja.
 
Kama tuliwahi kumsusia Mwingereza aliyetutawala, itakuwa jirani na Mwingereza?.
Kama tuliwahi kuisusia IMF na WB, itakuwa EU?.
Who is EU?.
P.
Mara baada ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar kulizuka mtafaruku mkubwa wa kidiplomasia.
Mara baada ya mapinduzi, Zanzibar walikuwa na mahusiano na ujerumani mashariki na ubalozi wa nchi hiyo maskani yake yalikuwa zanzibar.
Huku bara tulikuwa na uhusiano mzuri sana na ujerumani ya magharibi ambao kwenye kile kipindi walikuwa wanatusaidia kijeshi na pia kwenye makazi hususan NHC.
Baadaya ya muungano huo ilibidi ubalozi wa ujerumani mashariki uliokuwa zanzibar ilibidi uhamie makao makuu ya Tanzania[ Dar]. Serikali ya ujerumani magharibi haikufurahishwa na uhamisho wa ubalozi wa ujerumani mashariki kuhamia Dar. Hivyo Serikali hiyo ikaipa ultimatum serikali ya muungano kuwa aidha i isitishe utambuzi wa serikali ya ujerumani mashariki au Tanzania ifutiwa misaada yote toka ujerumani magharibi. Rais Magufuli wa wakati ule aliamua kuwafukuza na kufunga ubalozi wa ujerumani magharibi.
Hivyo haitakuwa ajabu kwa serikali hii kuendelea na msimamo wake kwani hiyo ndiyo haki yetu ya msingi kuamua nini mustakbali wa nchi yetu.
 
Wakaze tu mahali....yeye mwenyewe atalegea... Mbona juzijuzi tu aliachia..
 
Mimi ninachompenda Mzungu, ni kupenda ustawi wa watu kuliko vitu! Anachofanya Jiwe ni klupambana na ustawi wa vitu huku akiminya ustawi wa watu..! Hii haiwezekani popote pale, lazima kubalance!

Hapo hata mimi naungana na Wazungu, ache waje tu, wamfunze ustaarabu.
Hakuna mzungu anayeangaika na ustawi wa mtu mweusi na ikatokea umeona hivo lzm uogope sana.
 
Wazungu wajinga sana, Ndio maana Magu hasafiri nje na pengine ndio maana ana ulinzi mkali. Mnatupangia sheria za kubadilisha kisa ni third world countries? No turning back kama kavunja katiba semeni kavunja kipengele kipi. Eti wanasiasa waliopo magerezani waachiwe khaa, watu wamefanya makosa ya jinai waachiwe tu kisa ni wanasiasa, kwani kuwa mwanasiasa ni ticket ya kufanya jinai na usichukuliwe hatua? Na bado watazidi kufungwa hadi mshangae. Hii nchi mmeiendesha mnavyotaka sasa muda wa kujiendesha wenyewe.
Acha kelele tupu wewe... Hao jamaa washatuoa... Deni ni kubwa halilipiki na bado tunahitaji misaada. Unapanuadomo bure..

Wakikaza tu mnalegea. Tumbavu.

Mmeyataka wenyewe kutokana na USHAMBA wenu.

Kaa kimya. Mtatugharimu sana nyie.
 
Shukrani Mkuu Nchi Yetu imeharibika sana kwa udhalimu wa kutisha. Nashukuru nipo salama kabisa ila nimewahi kuwa chumba kimoja na wadhalimu ambao kwao kutoa roho ya mtu si kazi kubwa hata kidogo. Dhalimu anajifanya yuko busy na simu yake kumbe anakuangalia kwa kuibia na hata unapoondoka inabidi uhakikishe hakuna anayekufuatilia. Mwenyezi Mungu mkubwa Mkuu.

Salama kabisa Mkuu,nipo poa kabisa. Ulipotea sana mpaka ukatupa ukakasi wa kufikia kuwa ya Saanane. Karibu tena Mkuu tulibangue Jiwe mpaka liwe kokoto kama si changarawe.
 
Shukrani Mkuu Nchi Yetu imeharibika sana kwa udhalimu wa kutisha. Nashukuru nipo salama kabisa ila nimewahi kuwa chumba kimoja na wadhalimu ambao kwao kutoa roho ya mtu si kazi kubwa hata kidogo. Dhalimu anajifanya yuko busy na simu yake kumbe anakuangalia kwa kuibia na hata unapoondoka inabidi uhakikishe hakuna anayekufuatilia. Mwenyezi Mungu mkubwa Mkuu.
Mkuu ulipotea sana,pole sana kwa masaibu na karibu jf.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nafahamu hayo yote but Marekani ilifahamu hayo yote prior and after 9/11 na still iliendelea na biashara na Saudi,kwanini!!?

Majorly kwasababu ya mafuta,also hela iliyokuwa inaingiza toka Saudi kwa kuuza silaha na lastly ni geopolitical power coz saudi alikuwa na anaendelea kuwa na nguvu zaidi Middle East na ni "rafiki" pekee wa Marekani hence E.U

Now days Saudi sio mzalishaji mkubwa wa mafuta,vita na Yemen imeshaonekana haiwezi kushinda kwa mtutu also humanitarian crisis ni kubwa kuifumbia macho na kuendelea kuisaidia Saudi hata kama Marekani na E.U wanaichukia Iran.

Lastly vifo vya wengi ni statistics,kifo kimoja ni kifo.....always kinachukuliwa serious,Saudi imefanya mengi ya kuvunja haki za binadamu but kuuwawa kwa khashoggi kumewauma wengi kwasababu ni kifo cha mtu mmoja.

Also wananchi wa nchi nyingi za ulaya na hata Marekani wameanza kuhoji serikali zao kuhusu uhalali wa mahusiano ya Saudi na Nchi zao,Nchi kama Canada tayari ina mahusiano mabovu na Saudi kwasababu ya ku'criticize mienendo ya Saudi katika issue za haki za binadamu.

Mengi sana tutayaona mbeleni yakibadilika kuhusu Saudi.
Mkuu hawa watu sio waungwana kabisa,yaani mtu mmoja ndiye awafanye angalau wafikirie,lakini hawakujali yaliyotokea Yemen kabla ya Kashoggi?Haingii akilini.Na Syria jee,Iraq ambako Saudia wana mkono wao?Kutengwa kwa Quatar je, ambako Saudia wanahusika moja kwa moja?Mkuu hivi unajua ISIS weapons na logistics wanakuwa supplied na Saudia?Unajua hata majengo pacha ya WTC Saudia ilitumiwa na Marekani kuyaporomosha tarehe 11 September?Hivi unajua Wahabism?Waache double standards,waache ushirika na Saudia kama wanataka tuwaamini,Saudia is such an evil Kingdom.
 
Shukrani Mkuu Nchi Yetu imeharibika sana kwa udhalimu wa kutisha. Nashukuru nipo salama kabisa ila nimewahi kuwa chumba kimoja na wadhalimu ambao kwao kutoa roho ya mtu si kazi kubwa hata kidogo. Dhalimu anajifanya yuko busy na simu yake kumbe anakuangalia kwa kuibia na hata unapoondoka inabidi uhakikishe hakuna anayekufuatilia. Mwenyezi Mungu mkubwa Mkuu.
Anhaaa.... Mkuu naona umefufuka
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nipo Pakawa za kwako? Za masiku? Hatukukosea kuhusu huyu mkurupukaji kila kitu kinaenda kombo badala ya kukubali Nchi inayumba yuko busy kutafuta mchawi.
Nice to have you back
Zangu njema kabisa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shukrani sana Mkuu sikuwa na masaibu yoyote yale zaidi ya MOD ambaye alibadili nilichoandika na kubadilisha maana ya ujumbe wangu nilioukusudia. MOD kama hapendi nilichoandika aingie dimbani tulumbane kwa nguvu ya hoja badala ya kubadili nilichoandika vile atakavyo yeye.

Mkuu ulipotea sana,pole sana kwa masaibu na karibu jf.
 
Back
Top Bottom