jifanye tofali kama hutachongwa ukae sawa!
Angalia vifungu vingi vinaongelea sexual orientation mkuu yaani full kugeuzana popote pale unapoona panafaa kwa matumizi yako.Mkuu naona umeona ushoga tu kwasababu ushajipanga kuelekea huko..
Document imeongelea haki kibao mkuu....jaribu kusoma vizuri!
Watu emotional wanakimbilia kile kilichostua emotions zao wanaacha mambo chungu nzima ya maana vilevile..
Ondoa neno ushoga kichwani mwako for a minute and re-read the document uone vitu vingine!
Upo Mkuu?
Hapo number 8,hawa EU ni bure kabisa!, Rais Magufuli ndiye aliyesema hasomeshi wenye mimba, sasa una call authority gani iingilie?.
Number 9 wanampangia kazi Rais Magufuli?!.
Number 10 kuna watu wameshitakiwa for political crimes or ni criminal issues.
Hawajui kuwa Magufuli hapangiwi?. Kama katiba alioapa kuilinda ameweka pembeni, who is EU?.
Naona hawa wazungu wanajifurahisha tuu, kama vipi wazuie tuu misaada yao na watunyime visas za Shengen, tutakwenda UK na China.
Tanzania ni sovereign state, tuna uhuru wa kujipangia mambo yetu kama hatutaki ushoga wasitupangie na kutulazimisha bali tufundishwe tuu managing diversity ya kuwakubali mashoga kama walemavu wengine wote, tusiwabague wala kuwanyanyapaa lakini kubadili sheria zetu bado sana.
P
Mi natia source tu kama ulivyohitaji ili upate copy yako ya Pdf. Kwa kuwa sijihusishi na siasa, sitii langu neno.Papaa Mobimba, Where is the source; or did you write this "resolution"?
Ni upepo huu. Utapita tu.Mi natia source tu upate copy yako ya Pdf
http://www.europarl.europa.eu/sides...//NONSGML+TA+P8-TA-2018-0527+0+DOC+PDF+V0//EN
ktk website hii hapa chini
Texts adopted - Thursday, 13 December 2018 - Tanzania - P8_TA-PROV(2018)0527
Hayo kwenu Tanzania mbona ni mengi tu na hausemi ?
Naona una furaha sanaHuyu mtu wamtenge tu mpaka atakapojirekebisha.
Kwa mtazamo wangu,haya maazimio ni kama mtego na akiendelea na kiburi chake,basi ajue tu watakwenda zaidi ya hapa.
Na tujue tu US watawaunga mkono EU.
Ni wendawazimu kusema tunakataa masharti yao wakati tulikwishasaini mikataba ya kukubaliana na hiyo mikataba ya haki za mashoga. Hivi hukuona walivyonukuu hiyo mikataba ambayo tumeridhia?Nasimama na rais wangu JJPM kupingana na masharti ya kipuuzi kutoka kwa EU na washirika wake wote hasa pale wanapotaka tuitengue katiba yetu iliyoweka misimamo mikali kusimamia maadili na ustawi mzuri wa jamii yetu kwa kupachika haki za ushoga, Usagaji & the likes.
Haijalishi wanasaidia kiasi gani kwa bajeti yetu ya nchi ila masharti yao tu yanadhihirisha vichwani mwao hawapo sawa kana kwamba sisi bado ni makoloni yao maisha.
Upo Mkuu?
Asante kwa article
Kuna mtu karibu atavaa bugaluuu(zile suruali pana)
Uzuri Membe mpaka sasa kawapuuza kwa kuamua kukaa kimya.Kawadharau sana.
Utakuwa unapenda au unafaidika na ushogaHuyu mtu wamtenge tu mpaka atakapojirekebisha.
Kwa mtazamo wangu,haya maazimio ni kama mtego na akiendelea na kiburi chake,basi ajue tu watakwenda zaidi ya hapa.
Na tujue tu US watawaunga mkono EU.
Ni waongo kila sekta, ona kwenye miradi wanasema hela zetu kumbe wanakopa, tuna fedha za kutosha hazina kumbe hakuna, tutanunua korosho kumbe wanatumia dola kupora nk nk.hiyo ni amri tunasubiri wale wanaosemaga sisi ni nchi huru wabishe..jifanye kama unajikuuuna vile..halfu mbona EU WANASEMA DE GEER ALIFUKUZWA WAKATI MAHIGA ANASEMA ALIKUWA SUMMONED NA EU,awamu ya tano ni waongo mnoooo