Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
Limemshuka shuuuuh...
Halafu sura yake kama Mzee Majuto akiwa anazomea
Italy naipa "team of the tournament award" na nampa Andrea Pirlo "Player of the tournament".
Italy naipa nafasi ya kutwaa kombe ingawa haitakuwa kazi rahisi dhidi ya Spain.
Same here....
Ukitaka kuwaweza Spain ni kuwavuruga style yao ya kutegemea viungo wanne kuchezesha timu,i.e Xavi, Iniesta, Xabi Alonso na Busquets kama walivyofanya Portugal jana.....Kwa Italy kazi ya kuwavuruga viungo wa Spain itafanywa na Daniele De Rossi na Ricardo Montolivo huku Claudio Marchisio na Midfield Maestro Andrea Pirlo wakidefend na kutengeneza mashambulizi kuwalisha mipira wauaji Antonio Cassano na Super Mario Barwuah Balotelli.....
Patamu hapo aisee......
Italian Job hii si mchezo...!
Nadhani kwa dakika zilizobaki wameshashinda..wamecheza vizuri sana!
Di Natale ana tatizo la experience na atajifunza tu bado ana future na kwenye hii timu.
Hongera Katavi, Gang Chomba,
Hongera Katavi, Gang Chomba,
Balantanda na na wapenzi wote wa Italy.
Mkutano Jumapili. Ofa ya Sangria na Tortilla Española kwangu.
Ujerumani unaijua rafiki yangu, ogopa sana kina Gomez aisee!
Haya its Going to be a cracking Semi Final.... Italy are so good defensively and German are so good offensively.... Kati ni OZIL vs Mtu mzima PIRLO....PATAMU SANA HAPO....
Ni semi final ingine baada ya ile ya world cup kati ya Italy na Germany mwaka 2006.
Andrea Pirlo alicheza mechi ile akiwa ana miaka 27 na sasa ana miaka 33. Mesul Ozil ana miaka 24 tu na bado damu inachemka.
Hivyo inangojwa nusu fainali ya nguvu kati ya Mesut Ozil- "attacking midfielder" na Andrea Pirlo- "playmaker" ambae pasi zake ndefu hufikia washambuliaji ambao kama Balotelli hupoteza.
Hongera Katavi, Gang Chomba,
Balantanda na na wapenzi wote wa Italy.
Mkutano Jumapili. Ofa ya Sangria na Tortilla Española kwangu.
Nawapongeza italy but hawajanifurahisha sana kama walivyomtafuna germany 2006 kwenye world cup semi final in dortmund, mzee lipi baada ya kuona magoli hayapatikani dakika ya 80 akatoa viungo na kuongeza washambuliaji hadi wakawa wanne mbele kitu ambacho ni risk but lipi alijibu kwenye media kuwa kwenye semi final lazima upate magoli na kama hakieleweki jaza washambuliaji wa kumwaga. Germany mbona walijibeba siku hiyo tena nyumbani kwao jinsi pirlo alivyokuwa anazunguka katikati huku kina del piero wakijimwaga mbele...
Italy hawana kelele ila wana swagah kwenye semi finals mpaka raha... Unafikiri kuwa world cup glory 4 mchezo. Wachambuzi wakubwa kama tshaka hislop wa espn huwa anawaita azzuri world cup legends from europe... The italians job is unpredictable