Sema umri nao unamtupa mkono....Anaelekea mwaka wa 35 sasaDi Natale ana tatizo la experience na atajifunza tu bado ana future na kwenye hii timu.
Hongera Pirlo,hongera Balotelli,hongera Buffon, hongera Marchisio, Hongera De Rossi............
Forza Azzuri...............
samahani sana wakuu kwa niaba ya Ballotel mnisamehe unajua hii niliiona kwenye gazetteMkuu tafadhali mkuu Balotelli si King Kong ni mwafrika mwenye asili ya Ghana na ana kipaji cha kucheza mpira.
Baada ya jana chama langu Ureno kutolewa sasa hivi nipo Italy......Jumapili ni Italy moujer....Bala hongera...nimekukubali, duuuh!!
Naamini fainali utakuwa na Italy..!
Bravo Italy!
Mambo yote ni Domino mkuu....Mkuu Bantalanda tukatafute Domino au Piza Express somewhere, lol.
Hongera mkuu.
Mambo yote ni Domino mkuu....
Karibu tujumuike kusherehekea ushindi na ma Pizza ya ukwee ya Domino..
Italy naipa "team of the tournament award" na nampa Andrea Pirlo "Player of the tournament".
Italy naipa nafasi ya kutwaa kombe ingawa haitakuwa kazi rahisi dhidi ya Spain.
Hawawezi kutokea hata kwa dawa kamanda.......Italy ni Baba wa Soka pale Ulaya...
Haya wale niliowaambia waweke Dau then Balantanda atakuwa shahidi wako wapi?