bado nyie azzuri mtageuka kuwa bahari kabisa,yaani hata kwa kurusha shilingi kombe lazima liende san sebastian,bilbao,santander,malaga,mallorca,majorca,coruna,barcelona,valencia na kisha kutua zake madrid,cc ndio namba 1 kwa soka sasa duniani hilo mnalitambua,hongereni kwa kumfunga mjerumani ambae toka balotelli kazaliwa hajawafunga! bora stars kwa misri rekodi zingine.hah hah ha Gutierez is back...