BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Kitu wavuni Mgiriki..sasa 1-1
2-1..ujerumani mbele,khaah
BJ hawa watu wanacheza mbele ya Mama Chancellor.... Unategemea wa loose hii game??? Dont khaa bana... hahahahahaaaaaaa
KLOSE bado ni soo..... 3-1.... BJ bado una hope????
Wagiriki warudi home wakashughulikie uchumi wao .. kazi.mjerumani kamaliza