Italy kazi mnayo kwa waingereza maana wanawasumbua sana,labda muende nao ktk matuta!,cc Spain japo France wamefungwa jana na Sweden,nao wagumu safari hii ila ni kama tunafumba macho kuingia semi final! halafu tunamsubiri mshindi wa kesho kati ya czech rep vs portugal ktk semi final j5 ijayo!