Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Tokea 2010 England walipodhulumiwa goli lao dhidi ya Ujerumani mimi nilisema wanahitaji sana goal line tech lakini naona hii mijamaa ya FIFA iko nyuma sana.

Yaani goli la wazi kabisa jamaa wamenyimwa. Haki iko wapi hapo?

Sijawahi kuona jamaa wabishi kama wale. Mtu unakataa vipi kitu ambacho kinakusaidia kufanya maamuzi?
 
Ni bora basi waseme ni lazima nyavu zitikisike kama hawataki goal line tech maana hii ya mpira kuvuka mstari haiwatendei watu haki

Ha ha ha, hii kali.

Alafu umeona yule refa wao wa goli alivyota macho na bado anajifanya ajaona kama imevuka.
 
Quarter Finals : England vs Italy
Spain vs France


Kazi itakuwepo hapo
 
UKRAIN hawana Zali tu.... It wasnt theirs to take....
 
Ndo wanamili au wana hisa nyingi kwenye Betting Co's.... So Goal line Tech itaka ulaji

Hahaha ... inawezekana unachosema kuna ukweli ndani yake

Blatter... huyu jamaa hana mpango wa kustaafu. maana ni siku nyingi yeye ni Rais wa Fifa... itakuwa kuna manufaa anapata pale
 
Tokea 2010 England walipodhulumiwa goli lao dhidi ya Ujerumani mimi nilisema wanahitaji sana goal line tech lakini naona hii mijamaa ya FIFA iko nyuma sana.

Yaani goli la wazi kabisa jamaa wamenyimwa. Haki iko wapi hapo?

Ngosha, Sepp sasa hivi anaona umuhimu wa kuwa na goal-line technology. Hivyo anapigia chepuo kwenye International Football Association Board (IFAB) ili waweze kukubali teknolojia hiyo itumike, ingawa Michel na UEFA yake anaipinga.

Sepp Blatter says he can convince Ifab to bring in goalline technology | Football | guardian.co.uk
BBC Sport - Sepp Blatter backs introduction of goal-line technology
 
Ni bora basi waseme ni lazima nyavu zitikisike kama hawataki goal line tech maana hii ya mpira kuvuka mstari haiwatendei watu haki
Au nyavu ziwe wazi nyuma ili bao likitoka upande wa pili lionekane - lol - Wamenikera sana!

hivi Holland imeshatoka? siamini aisee..
Ndio BJ. Poleni sana, lakini kushindwa ni kupewa muda wa kujirekebisha. Naamini mzee wa timu Johan Cruyff ataingilia kati hata ikibidi kichwa cha mtu kiende.

Quarter Finals :
England vs Italy
Spain vs France
Kazi itakuwepo hapo
Tena hawa France tumewakamia sana, hawaishi kutudhihaki kuwa tunatumia madawa ya kuongeza nguvu michezoni, iwe ni Tennnis, Baiskeli, Moto GP, kuogelea, kabumbu...michezo yote wanatushutumu. Kwa hivyo tunaingia na mihasira ya simba mwenye njaa - Aghrrrrrrrrrrr!!!!!
 
MAMMAMIA

Kumbe wewe unashabikia Spain .... Haya ngoja tuone siku hiyo kama kweli unachosema kitatokea
 
Last edited by a moderator:
Video Technology {Goal line Tech} inahitajika kwa msingi huu

article-2161729-13B13BE2000005DC-428_634x405.jpg


Goalline technology: A computer-generated image shows the ball over the line


 
article-2161729-13B0C555000005DC-68_634x405.jpg


Eleven lions: The England team line up just before facing co-hosts Ukraine



 
Something special: Zlatan Ibrahimovic produced a finish of the highest quality in the second half


article-2161792-13B108D2000005DC-878_634x375.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom