Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Dah Wameotea goli naona
Hapana! Wakati mpira unatoka kwa mchezaji wa Croatia, Iniesta na Navas walikuwa katika nfasi sahihi, lakini Wakroatia waliona hivyo hivyo wakabaki kunyoosha mikono tu. Anyway, goli akishalikubali refa ndio imepita tena hiyo.
 
Gang Chomba ni shabiki nguli wa Soka la Italia, so nikiwa na akili timamu pasipo kuwa hata na Handas kichwani napenda kuweka wazi kuwa Italy ama Azzurri tumebakiza mechi 3 kwa sasa.
1. Robo Fainali
2. Nusu Fainali
3. Fainali...

Ndetichia, Myao wa Tunduru na companero naomba mjitokeze huku mkiwa vifua wazi...

Forza Buluda
 
Gang Chomba ni shabiki nguli wa Soka la Italia, so nikiwa na akili timamu pasipo kuwa hata na Handas kichwani napenda kuweka wazi kuwa Italy ama Azzurri tumebakiza mechi 3 kwa sasa.
1. Robo Fainali
2. Nusu Fainali
3. Fainali...

Ndetichia, Myao wa Tunduru na companero naomba mjitokeze huku mkiwa vifua wazi...

Forza Buluda

atimae cassano na super mario wamewapa mashabiki kile kinachotakiwa..we are here meen..
 
Mimi leo nipo kuwaunga mkono wapenzi wa Uingereza, Ufaransa, Sweden na Ukrein, na nitawapa moyo muda wote mpaka siku ya kuja kupambana Spain.
 
Hawa Sweeden acha watoke bila pt kama NED.... Wamekosa goli la wzi kabisa....
 
Ukrain hawana one two... Naona wanakamua pasi 3 wawe golini..... Sijui kama Shev Atawaacha salama
 
Ukraine wametawala mpira.

Kwa style ya Ukraine ni vizuri sana wamlete Walcott awakamate kwenye counter attack.

Rooney kaja kuaribu tu ,au chuki zangu binafsi wakuu?
 
ROO hana match fitness!!! He was not suppose to start this game... Thus y kakosa such a Free Header.....
 
OX... Kuwa mkweli katika hili swali...." MMESHIKWA HAMJASHIKWA???"
 
Hahahahaaaaaaa.... Mpka mtu anatembelea mikono?????? tena pale Ref kawabeba kabisa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom