Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Gang Chomba ni shabiki nguli wa Soka la Italia, so nikiwa na akili timamu pasipo kuwa hata na Handas kichwani napenda kuweka wazi kuwa Italy ama Azzurri tumebakiza mechi 3 kwa sasa.
1. Robo Fainali
2. Nusu Fainali
3. Fainali...

Ndetichia, Myao wa Tunduru na companero naomba mjitokeze huku mkiwa vifua wazi...

Forza Buluda
Dreaming is free of charge and hope is the last to be lost.
Vi auguro buona fortuna
 
That was a very STUPID defending from UKRAIN.....
 
Yaani mpira kama huu alopewa ROO angeakuwa WALCOTT pale ingekua balaa lingine kwa UKRAIN
 
Video Technology {Goal line Tech} inahitajika kwa msingi huu
 
Video Tech should be used in this Sport...... na pale nyuma kuna kuna msaidizi wa Ref...
 
Hapa refa kawanyonga Ukrein, goli la wazi kabisa!!!!!
 
Yani lile refa la golini linamuangalia kabisa mtu anaokolea ndani, sijui amesahau kama yeye refa pia?
 
Wale marefa wa nyuma ya magoli hawana maana.

Hivi kweli Fifa hawataki goal line. technology?

Tokea 2010 England walipodhulumiwa goli lao dhidi ya Ujerumani mimi nilisema wanahitaji sana goal line tech lakini naona hii mijamaa ya FIFA iko nyuma sana.

Yaani goli la wazi kabisa jamaa wamenyimwa. Haki iko wapi hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom