CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho