white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,306
- 13,268
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
Mimi hapo ndio huwa mnanishangaza, wakiwapa sifa mnaona bonge la UJIKO, ila wakiwakosoa tu, mnakuja juu ohooo, hii ni nchi huru hatutaki kuingiliwa na beberu!!au akwapa mkopo/msaada mnashukuru sana, kuwa ni wazuri ila pale wakiwaambia jamani mbona ufisadi umezidi.Mnakuja juu .