Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Kwa kweli nimejifunza mengi!
Huu ni mwaka wa kufunguka....mwaka wa ukweli na uwazi...kazi ni kujifunza.
Kwa kweli nimejifunza mengi!
Tupe Summary mkuu. Mada yenyewe chokonozi sana hii. Inaweza hata kuvunja mahusiano ya 'kawaida' ya kijamii tuliyonayo aisee
Sio wewe tu, JF imekua shule kwangu (source, Regia Mtema).
Mi nimesoma kuna watu wamesema from their experience na observation kwa watu wanao wajua: wameona White men are better lovers than black men in many aspect. Hakuna alie sema they are perfect, they said they are better. In their critera. Sasa who are we to challenge that? This alone ni somo tayari.Mi ni chuo kikuu kwa kweli....haaaaaaa,Mungu tujalie tu tuweze kumudu kuwa JF.....!
Kwa kweli nimejifunza mengi!
NAVUTA PUMZI KWANZA!!!
Nyie wakaka wa kibantu kwa aslimia hiyohiyo mnaboa sana na wadada wenu wanakaa na nyie basi tu wafanyeje!
Ha ha ha, nimecheka mpaka basi. "Kukaanga chapati" ndio nini ndugu?MMK, na hao jamaa huwa hawakawii 'kukaanga chapati', pengine hicho ndo wanachokipenda zaidi
na mimi niko very curious hapoHa ha ha, nimecheka mpaka basi. "Kukaanga chapati" ndio nini ndugu?
pesa ni kila kitu mkuu
pesa inaficha kila kitu,
Wapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.
na mimi niko very curious hapo
Tupe Summary mkuu. Mada yenyewe chokonozi sana hii. Inaweza hata kuvunja mahusiano ya 'kawaida' ya kijamii tuliyonayo aisee
Wapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.
Wapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.