Kakudanganya nani? Hivi wewe unaishi dunia gani? Sasa usipomsikiliza utajuaje kaongea pumba? Ukishinda nyumbani si utakosa nafasi ya kumsikiliza na kumzomea ikibidi? Na usipomzomea atajifunzaje kutoongea pumba? Yeye yuko jukwaani anaongea pumba, kuna njia moja tu ya kushindana naye kwa hoja, kumzomea! Hivyo ndivyo ilivyo! Au wewe ungependa apopolewe mawe, wee nawe!ngwendu said:kuzomea si kitendo cha kiustaarabu kabisa. kama hujisikii kwenda kumsikiliza siushinde nyumbani? huu ujinga upo bongo tu. watu hushindana kwa hoja na si kuzomea. hao ndo chadema, ni zaidi ya tuijuavyo.
kuzomea si kitendo cha kiustaarabu kabisa. kama hujisikii kwenda kumsikiliza siushinde nyumbani? huu ujinga upo bongo tu. watu hushindana kwa hoja na si kuzomea. hao ndo chadema, ni zaidi ya tuijuavyo.
...mbona akipigiwa makofi na kushangiliwa watu hawatafutwi na kupewa zawadi!?...
hakuna wa kukuzomea kama utaongea points, tena bongo ndio kuna nidhamu ya hali ya juu ndio maana watu wanazomea, nchi zenye watu wasioogopa unashushwa jukwaani kwa mawe mfano ni hapo tu kenya!
pumba hazikubaliki mkuu
boooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooohkuzomea si kitendo cha kiustaarabu kabisa. Kama hujisikii kwenda kumsikiliza siushinde nyumbani? Huu ujinga upo bongo tu. Watu hushindana kwa hoja na si kuzomea. Hao ndo chadema, ni zaidi ya tuijuavyo.
kuzomea si kitendo cha kiustaarabu kabisa. kama hujisikii kwenda kumsikiliza siushinde nyumbani? huu ujinga upo bongo tu. watu hushindana kwa hoja na si kuzomea. hao ndo chadema, ni zaidi ya tuijuavyo.
Kuzomea sio kosa la jinai wakiwafikisha mahakamani mahakama itawaachia kuna namna ya kupingana na mtu anayekuambia uongo moja nikumzomea ili asiendelee kudanganya haya yanatokea kwenye viwanja vya mipira,sokoni,na mahala pengi kwenye mikusanyiko wanawatisha tuu watawaachia
kuzomea si kitendo cha kiustaarabu kabisa. kama hujisikii kwenda kumsikiliza siushinde nyumbani? huu ujinga upo bongo tu. watu hushindana kwa hoja na si kuzomea. hao ndo chadema, ni zaidi ya tuijuavyo.