Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,839
- Thread starter
- #81
I admit,Haya mambo hayatabiriki sio lazima uwe ulijipanga tangu kitambo, mtu anakukataa leo lakin baada ya miaka kupita anakukubali baada ya kuona mambo fulani fulani yamekuwa tofauti na ilivyokuwa kabla.
Hata wanaume huanza wafukuzia wale wadada waliwaona local kipindi wanasoma nao.!
Maendeleo hayana chama! 😀

