Eti wanaume huwa mnafikiria nini?

Eti wanaume huwa mnafikiria nini?

Mwanaume na mwanamke ni vitu viwili tofauti ila vinashahabiana kwa asilimia nyingi...pia kwanzia leo unapaswa ujue hili,

Mwanaume ni kwa ajili ya kila mwanamke na mwanamke ni kwa mwanaume mmoja tu linapokuja suala la mahusiano.Umenielewa wewe?
Sijakuelewa,
Maana hicho sicho nilichotaka kufahamu.!!

Soma swali langu mwishoni ujaribu tena.!
 
Hata mimi kuna pisi naipenda sana na siwezi kuchoka kuipenda hata niongeze mke mwinginee.....

Huwa inashangaa sana unakuta imequote status ya wife hapo hapo naanza kuipiga verse sema tu haielewii

Nitaitag huko chini kwa ishu nyinginee
 
Wanaume wengine tunaamini pepo yetu ipo hapa duniani Wala si kwengine.. kwa taarifa yako huwa hatujisuti,tunajiskia burudaani.. ila in a serious way pamoja na yote hayo mke tunamuheshimu!.. don't ask inawezekana vipi ni siri ya kambi..!
Ewaaaah'..!
Ahsante kwa jibu lako, hii ndiyo nilitaka kujua naona kuna watu wananijibu kirumi..!
 
Mwanaume ukimuwekea hapa mademu 10 wakali kabisa ukamwambia achague mmoja, atachagua! Lakini wale 9 waliobaki nao bado atawataka.

So usifikiria alivopata huyo demu mkali ndo ukadhani karidhika kukukosa wewe.

Ni wenye hofu ya Mungu tu ndo wanaweza kutulizana na kuridhika na mmoja aliyenaye
da mkuu hii nimeipenda haswaaaa
 
Kila mwanamke na utamu wake,pia sio kila tunaowagonga tunawapenda sometime ni tamaa
Nilitaka kufahamu huwa mioyo haiwasuti mkiwa mnatongoza mtu mwingine huku ume display sura ya ubavu wako.???
 
Inahitaji kipaji kwa mwanaume kuridhika.
Hekima ya hali ya juu sana inahitajika kuweza kuituliza nafsi ya mwanaume kwamba ridhika (kinai).

Ni kama ukiwa nyumbani, hata kama TV inaonyesha kipindi kizuri kabisa, hakina tatizo lolote, utashika remote uzururezurure channel zingine hata kama hawana kitu cha maana kisha unarudi kwenye ile ile ya awali, hapo umeshapitwa na mambo ya muhimu yaliyokua yanaendelea wakati una manga manga kwenye channel zingine.

Maamuzi yetu kwenye hii tasnia hua ya ghafla yenye kukosa utulivu. Wachache, narudia tena wachache wanaoweza kumudu na kusimamia kutokuongozwa na hisia wanafanikiwa sana.

Mtuombee tu. Najua wapo watakaosema tunajiendekeza.
Nakuelewa sana Bro na unajua hii.!
Ila nataka kujua ile aibu huwa mnaweka wapi wakati mnasaundisha mtu mwingine huku profile uko na picha ya mkeo.? Hata ka aibu kidogo huwa hampati.?
 
Social media ni kufata mkumbo tu..
Haiakisi real life..
Wengine tuna post mradi Tu uende na jamii ilivyo...
Watu wa siku hizi ndugu yako akifa hujampost hawakuelewi kabisa..au birthday ya gf /Mke hujampost ni ni kesi kubwa...

Deep down maisha yetu halisi hayako kwenye social media
I like this.!
Lakini huwa hamuoni ni vibaya umemuweka mpenzi wako public na unaendelea kutongoza, huko si ni kama unamchoresha tu.?
 
Kumiliki IST ukaisifu kuwa ni gari zuri hakukufanyi usahau ndoto zako za kuwa unatamani kumiliki Discovery 4. Na pia ikiwezekana uwe una IST for town Cruising na Discovery for long trips
Haha..!
Little impressed..!!
 
Mwanaume ukimuwekea hapa mademu 10 wakali kabisa ukamwambia achague mmoja, atachagua! Lakini wale 9 waliobaki nao bado atawataka.

So usifikiria alivopata huyo demu mkali ndo ukadhani karidhika kukukosa wewe.

Ni wenye hofu ya Mungu tu ndo wanaweza kutulizana na kuridhika na mmoja aliyenaye
Liked,
Anajiskiaje kumpost na bado akaendelea na sound zake.?
 
Bro swali langu lilikuwa wakati mnatupia madini kwa wanawake wengine huku sura za wake zenu zinawatazama pichani huwa hamjishtukii.??
Haijalishi sana (hatujali kabisa....its a non issue)........tena ndio vizuri anajua una mtu wako na familia kabisa (yeye akikubali ajue ni nyumba ndogo tu).

And by the way, wanawake wengi wanapenda uwazi wa namna hiyo....anapenda amjue mkeo ili ajue namna ya kuepa/kujikinga......just in case kuna "fumanizi" au kitu cha kufanana nacho. Na wengine akiona una mke mzuri kumzidi yeye....anakubali kirahisi zaidi.....nafikiri anaona umemthamini hivi....?

Labda kwa vijana wadogo wanaojifunza kutongoza inaweza kuwasumbua.
 
Mbona hata wanawake wapo wa dizaini hiyo? Ana mume na watoto, but kutwa anadonyolewa na mabodaboda, hata mimi huwa najiuliza sana
Haha, bruh'..!
Nijibu swali niliuliza mwishoni kabisa mwa thread, ulichojibu hapa siyo lengo langu, ahsante nimecheka pia.!
 
Nilitaka kufahamu huwa mioyo haiwasuti mkiwa mnatongoza mtu mwingine huku ume display sura ya ubavu wako.???
Mwanamke hawezi kukunyima kisa picha ya mwanamke mwemzake iko kwenye profile.mnajua mlivyo wengi na mnajua hakuna mwamaume mwenye mke mmoja
 
Haijalishi sana (hatujali kabisa....its a non issue)........tena ndio vizuri anajua una mtu wako na familia kabisa (yeye akikubali ajue ni nyumba ndogo tu).

And by the way, wanawake wengi wanapenda uwazi wa namna hiyo....anapenda amjue mkeo ili ajue namna ya kuepa/kujikinga......just in case kuna "fumanizi" au kitu cha kufanana nacho. Na wengine akiona una mke mzuri kumzidi yeye....anakubali kirahisi zaidi.....nafikiri anaona umemthamini hivi....?

Labda kwa vijana wadogo wanaojifunza kutongoza inaweza kuwasumbua.
Ooooooow'...!
Kwahiyo kumbe mnakuwa mme relax kabisa na hata haiwapi mawazo.!! Haha.! Wanaume Mungu azidi kuwapigania..!

Ahsante mkuu, hii tu ndiyo nilitaka kujua.!
 
Ooooooow'...!
Kwahiyo kumbe mnakuwa mme relax kabisa na hata haiwapi mawazo.!! Haha.! Wanaume Mungu azidi kuwapigania..!

Ahsante mkuu, hii tu ndiyo nilitaka kujua.!
Kabisa.....haisumbui kabisa. Kama pete tu.....kwani tunavua?
 
Wanaume tunaweza kabisa
1. Kumpenda mke na kumtimizia mahitaji yake na kumheshimu lakini bado ukawa unahangaika mtaani ni binti wa miaka 19 anayesoma certificate hapo Uhasibu

2. Kuona mwanamke huku akiwa sio chaguo lako la kwanza lakini akawa na sifa za kuwa mama na bado ukaendelea na girlfriend wako mliyekutana CBE

3. Kuheshimu na kumuogopa mkeo na huku ukitaka asijue chochote kuhusu upuuzi wako lakini ukawa una mwanamke mmoja ambaye huwezi kumuacha.

Inawezekana kabisa.
 
Mwanamke hawezi kukunyima kisa picha ya mwanamke mwemzake iko kwenye profile.mnajua mlivyo wengi na mnajua hakuna mwamaume mwenye mke mmoja
Kwa upande wa waliooa kidogo naweza kubali, na je kwa ambao bado ni wapenzi.?
Unampost main chick kila siku, na bado uende kutupia sound?
 
Back
Top Bottom