Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

we huna akili kabisa endelea kutafuta wenye ajira wakupande wakuchoke ubakie iddle alafu utakuja kuolewa na machinga badae
ahahahah

Wewe jamaa una undugu na masanja
hapana joti

ahahahahaa
Sasa unaolewa naye au unaolewa na hao kuku? Nyie wanawake wengine mbona mnakosaga shukrani? Ndomana tunaishia kuwamega nakusepa zetu

aahahahaha nimecheka mpaka boss kanikazia macho... ahahahaha

Narrow minded.
Kaolewe na babako siyo mbaya mana ndo atakuwa na standard za mme umtakaye
Haya Dada. Mungu kasikia kilio chako. Atakujibu
ahahahaha

Itafika kipindi utahitaji hata mkaanga ubuyu na hutompata
ahahaha maana vyuma vimekaza mwambieee

Shosti unaongea kwa kurfurahisha watu au yametoka moyoni? na kama yametoka moyoni basi afadhali huyo mfuga kuku mara 100 yuko nyumbani unamuona,nikupe mfano Mume wangu ni Pilot ya moja ya mashikirika ya ndege duniani, ila kwenye mwezi mmoja anaweza akawa nyumbani siku7 tuu siku zote leo yuko USA,mara Australia,mara Brazil kuna mda namuhitaji nyumbani hata tuongee hayupo sasa nna hiyari kufatana nae tukaongee huko huko au nimsubiri nyumbani,na anaweza kufika nyumbani anakwenda kwenye Biashara zake na mimi niko kazini,nikirudi nyumbani mpaka nikimaliza kupika tuna kula yeye hoi mie hoi hakuna kuongea siku inayo fuata mchana au jioni safari..
Usiombe shosti na pia shukuru bahati yako unaweza kumtaka anaekwenda Airport ukajuta atakavyo kusugua roho..
doh

Post yako haichekesh
njoo huku inachekesha

mje na huku nimeshusha hadithi mpya... shuka chini utaiona Story: Money Penny ni nani lakini?!
 
Itafika wakati utatafuta ata kitu kinacho koroma au nguruma kikuoe, time will tell
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Na ww unanini cha maana?
 
Kweli shuka kumekucha Noma! Rungu la KIPEPE limepita weeeeee ndio unashitukaa! mmmh haya mpendwa wetu karibu 2018.
 
unajua ndio maana kuna wanawake wengine ni kuliwa tu huwa hawaolewi.Tuwabanjua tu!! unakuta mtu analinga wakati yeye mwenyewe anategemea hela za mwanaume kusaidia familia yake nzima.hana hata kitu na wote choka mbaya!!
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Una umri gani? Ipo siku utamtafuta hata huyo mfuga kuku usimpate.
Kazana kumtafuta huyo wa makongamano kwa usawa huu wa Magufuli duh!
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Yeye mfuga kuku,wewe na elimu yako ya chuo,nani!!!??,eti nimesoma chuo,so what!!!,
What are you bringing to the table?, words only??
Mkono mtupu aulambwi mama!!,
Elimu ya chuo,bila mkakati wa kutengeneza pesa,haina maana,
Badala ya kutumia elimu yako,kuendeleza hiyo biashara ya baby wako,we unaponda,unataka ukute kila kitu kipo,ready made,sweetheart,if you are not careful,you will endup getting sodomised,
 
Unataka kufanya?
Wenzio tunafikiria kuacha kazi za maofisini ili tukafuke kuku! Halafu wewe unabeza...!Huna sifa ya kuolewa wewe...unatakiwi utafunwe halafu uachwe ili umsubiri afisa...Nifuate inbox kama unahitaji kununuliwa wigi la milioni moja kwa siku ya leo...
 
Back
Top Bottom