Pumbavu sana !!
Shubamiiit kudaddeki heheheheh
Nafagia mabanda ya kuku nalima mboga mboga Nina Toyota RUSH ,Toyota Probox succeed ,Toyota HARRIER new model .
Nina kadi ya platinum and Gold heheheheh.
Nina nyumba kama tano za nguvu hapo jijini mbili ziko prime area u know
But unajua nini nashinda kisarawe nikivuta harufu za mavi ha kuku na sometime nipo mkurranga napalilia tikititi zangu au nipo chekereni nasimamia kitunguu kiote fresh .
Utaniambia nini wewe komaa na hao wanafanya kazi kwenye viyoyozi wakisubiria paycheck month after month heheheheh wakishurutishwa bila shuruti na mabosi wao hahahah.
Wanaambulia milioni 1 na viposho vya laki laki Mara moja kwa mwezi hahahah
Maisha ukileta mbwembwe na sitaki na nataka utaishia kuwa kuku wewe.
By author.