Kwa sababu najua hadithi zako ni kuchangamsha jukwaa nimeishia kucheka tu ningekuwa sikujui ningekuporomoshea mikashfa hadi ujione zwazwa.Ndo simtaki sasa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Ni wazo zuri kwakweli
AKILI KICHWANI HUNA WEWE................Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!
Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.
Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.
Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku
Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!
Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!
Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Hahahaaa.Uyu dada ameamsha hisia za wakaka humu..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] swahiba vip[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahaahaa. Labda mkuu.Kwani unafikri akikup mimba utazaa kuku au?
Swahiba huu uzi umenichekesha sana aisee. Sijui nilikuwa wapi yaani leo ndio nauona.[emoji1] [emoji1] [emoji1] swahiba vip
Njoo uolewe na mimi, katibu mkuu uwekezaji, vijana katika kamishna wa maadili ya umma Ofisi ya waziri mkuu and managenent ya tasisi za kiserikali nje na ndani ya afrikaNdo simtaki sasa
Hahaha noma sana swahiba dada anataka mutu ya ofisi na magariSwahiba huu uzi umenichekesha sana aisee. Sijui nilikuwa wapi yaani leo ndio nauona.
Hongera dadaa. Msubiri mwingine utampata wa chaguo lako.Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!
Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.
Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.
Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku
Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!
Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!
Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.