- Thread starter
- #341
Hizi in hesabu za kwenye makaratasi tu. Gharama ya kidéri iko wapi? Gharama ya chakula iko wapi? Gharama ya kutembeza iko wapi? Hayo mayai utamuuzia nani?Mfuga kuku ana pesa kuliko hata wafanyakazi wengi tu,sema wewe umekariri! ebu fikria anapata trai nne za mayai,trai moja elfu 15,sasa elfu 15x4=60000tsh per day,kwa mwezi ana milioni na laki nane! hapo dharau inatoka wapi?
Wateja wakubwa wa mayai in wakaanga chips, na hawa hununua ya kisasa kwasabb ya unafuu wa bei. Sasa haya ya kienyeni nani anayataka? Msipotoshe watu kwa miradi ya nadharia.