Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Sawa mkuu nitakuchekyeah.! hela ya Ufugaji in tamu kuzidi hata chips zenyewe..!!
Sawa mkuu nitakuchekyeah.! hela ya Ufugaji in tamu kuzidi hata chips zenyewe..!!
Sitaki hata kuisikiaUnataka kufanya?
Ni pm nikuonyeshe kazi gani tutafanyaSitaki hata kuisikia
Hamjamuelewa! Hapo anatangaza kwamba amepata mchumba aliyejiajiri na anamtosheleza kwa mahitaji yake. Hongera sana!wewe 'kite' sikia hii...'Ufugaji wa Kuku unalipa vizuri sana kuliko hata hiyo degree na pengine kushinda hao wa airport unaowataka..'
Ukitaka mafanikio, kuwa mfugaji...'ubishoo peleka airport'
PoaMambo
Umepotea sana aisee.! Ni pm nikuwish heri ya mwaka mpya
Mmh! Ananishobokea usipime. Hivi kibuti cha Leo kitampa jaka moyo.Ukute naye mfugaji anakuona ww wa ovyo zaidi kuliko wanawake wengine
Pambana ,dengue ya kuku iache mpa jaka moyo iwe wwMmh! Ananishobokea usipime. Hivi kibuti cha Leo kitampa jaka moyo.

uwajui wafugaji
Waaaaaaaaaat!!!!!! Kwann aolewe na babaanguSawa kaolewe na kamishna wa TRA

JomonHawa Akina Sexless ndo walewale hata la 7 hawakumalizaga ila wanaringia guu la bia.![]()

Hawa Akina Sexless ndo walewale hata la 7 hawakumalizaga ila wanaringia guu la bia.![]()

We ni Ke au Me?Jomon![]()
We mbona unauliza watu ayo maswali..una mission gani.We ni Ke au Me?

Lala veve its already a midnightNjoo nikuwish heri ya mwaka mpya pm