Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 670
- 347
Teh teh sexless, nenda kwa babu seya mtoke wote!!
AKILI ZENU NDOGO.SANA ILA KAMA JAMAA ASHATOMB.A HAINA SHIDA MWACHE ATATAFUTA WAFUGA KUKU WENZAKE .Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!
Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.
Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.
Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku
Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!
Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!
Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Unaniambia mm ama alie toa post?Wenzio tunafikiria kuacha kazi za maofisini ili tukafuke kuku! Halafu wewe unabeza...!Huna sifa ya kuolewa wewe...unatakiwi utafunwe halafu uachwe ili umsubiri afisa...Nifuate inbox kama unahitaji kununuliwa wigi la milioni moja kwa siku ya leo...
Umemjibu vyema,unataka mwanaume wa kumsindikiza airport...ata uyo mfugaji unaweza muandaaa akapanda ndege...mnapokua mnaliwa na kuachwa hadi umri unakua umesogea sana ni 7bu mnaonekana mnapenda vitu vilivyotayar ....Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!
Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.
Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.
Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku
Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!
Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!
Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Mdharau mwimba mguu huota tende ,unaruka mkojo unakanyaga mavi ipo siku utamkumbuka unayemuanika leo hii hujui thamani yake kwa sasa ,elimu yako uliyopata haina faida kwako kumbe waweza soma lkn akili ikawa haijui kupambanua mambo ,we mwache tu lkn acha kututolea mapovu kwani ulipompenda tulikuwepo ?
Mmhh adi ww jamani unamchana hivyo.!Umri unasogea utatafuta hata mfuga mbwa utamkosa[emoji23]