Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Nahisi wewe ni aidha wa kiume au ni mwanafunzi below 18 au umesoma hadi darasa la K.K.K ukamaliza Shule.
Ni mawazo yangu tu sijashauriwa na mtu na kama wewe ni mwanamke utakujatiwa mimba na mtu wa chini kuliko huyo na atakuoa
Nakutabiria tu japo inaweza isiwe kweli
 
Katafute hiyo kazi ya u officer uwe unasindikizwa wewe huko ulikokusema.
Nyang'au we.
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Wewe kweli kichwa maji. How can u despite someone like that? Psycho kabisa kwani kuolewa na mufuga kuku kuna tatizo. Wewe unaonekana ulienda chuo kuzurura. Sasa ngoja utapata mwanamme ambae mashost zako watakupongeza na utajutaaa
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Hahahaha nafuatiliaga thread zako mkuu, nimegundua unatatizo la kisaikolojia siyo bure, wahi kamuone Dr kwa ushauri zaidi wa kitabibu
 
hahahaa,imebid nicheke tu, ht mi namadogo hom wanajiita graduate mana wanaona sifa mana,wana mwaka sasa wpo hom nkiwambia nwapeleke shamba niwafundishe shughul ya kilimo hawatak wakat kilimo hko ndo kimewafanya watoboe chuo,sasa saiv kaz kuombana ela ya bundlle na naul za kuzunguka jiji tu na mabahasha mshahara kuchoka,ndio ajira ni mpngo lkn kujiajir ndo mpango zaid
 
Kaolewe na baba yako mzaz kenge wee huna hata ela ya chup alf unaleta nyodo mbona ww hujawah mpa pesa huyo mshikaji chuo chuo dwgree ya chupi hyo malaya mkubwa wew
Punguza hasira!
 
Kwasisi wajasiriamali tunapenda watu kama nyie ili tuendelee kuwatumia
 
Cha Ajabu... Kabla sijafungua huu uzi,nilijua ni was sexless.
 
Wewe ni single mother afu Una frustrations mana Jua kwako limezama Huoni ata wakukupa Mambo ndio unakuja kujifariji apa na Nyuzi za Kutunga tu
 
Umri ukifika utakuja kuolewa na msukuma mkokoteni. Mara nyingi watu kama nyie huwa hawaolewi
 
Kuna mtu mmoja ana masters aliamua kuzikacha ajira. Akaanza kushona nguo kwa cherehani, akaongeza cherehani na mafundi, akabuni aina ya suti.. Leo hii ni brand kubwa sana na wasanii wote wakubwa wameshavaa nguo zake.
Hata Yule jamaa special mwanamitimdo alikuwa ameajiriwa bot analipwa 150 per day na posho kibao aliacha akahamia kwenye mambo ya kushona
 
Back
Top Bottom