Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Huyu dada amenikera mno! Hajitambui huyu, wako watu ni mabilionea hapa TZ na nje kwa kazi ya kufuga kuku! Ona wakina kuku poa, Amador, inter chick na wengine wengi ni wafugaji hao na wameajiri watu wenye degree zao kama wataalamu na washauri!
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Okay, nimekuelewa, heri ya mwaka 2018 upate wa kumsindikiza airport. Ila mfuga kuku kapata tender ya kupeleka kuku Oman na Dubai kupitia Emirates. Utamsindikiza?
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Una haki kabisa ya kumchagua MUME unayemtaka. Kama ambavyo wewe hutaki kuolewa na MFUGA KUKU, pia kuna wanaume ambao hawako tayari KUOA mwanamke mwenye akili za KUKU kama zako. Nafikiri huyo mfuga kuku sasa hivi ameshatambua kuwa akili zako ni kama za KUKU anaowafuga.

Sikia dada yangu Sexless Wanawake wapo wengi sana kuliko wanaume. Kwa taarifa yako huyo MFUGA KUKU hana hasara wewe kumkataa. Wapo wenzako wenye akili KUKUZIDI wewe na wanatamani sana wawapate hata WAFUGA SUNGURA na hawawapati.

Imeandikwa hivi kwenye Biblia; "Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu MUME mmoja wakisema, tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako, UTUONDOLEE aibu yetu". ISAYA 4:1
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Mungu atakubariki na ndoa utaisikia kwa wenzio kwa nyodo hizo. Ukae ukijua mwanamme ndio huwa anachagua wa kuoa. Unaemtaka wewe akuoe yeye atakuwa hana habari na wewe na ukilazimisha utajikuta unaolewa kwenye mateso. Acha kudharau shughuli za watu
 
Una haki kabisa ya kumchagua MUME unayemtaka. Kama ambavyo wewe hutaki kuolewa na MFUGA KUKU, pia kuna wanaume ambao hawako tayari KUOA mwanamke mwenye akili za KUKU kama zako. Nafikiri huyo mfuga kuku sasa hivi ameshatambua kuwa akili zako ni kama za KUKU anaowafuga.

Sikia dada yangu Sexless Wanawake wapo wengi sana kuliko wanaume. Kwa taarifa yako huyo MFUGA KUKU hana hasara wewe kumkataa. Wapo wenzako wenye akili KUKUZIDI wewe na wanatamani sana wawapate hata WAFUGA SUNGURA na hawawapati.

Imeandikwa hivi kwenye Biblia; "Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu MUME mmoja wakisema, tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako, UTUONDOLEE aibu yetu". ISAYA 4:1
Mkuu umenena vyema. Hajitambui huyo. 2018 itamwendea vjbaya
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Na mwaka huu utaolewa na mchimba mashimo kwa hadhi uliyonayo.
 
mkuu(sexless),maelezo yanatambulisha kuwa wewe ni mwanamke wa aina gani,unafaa kuolewa/hufai kuolewa,kuwa makini na kauli zako,hata wenye kazi nzuri unaowataka wewe,WATAPATA MASHAKA!!
 
sexless !!!!,mpaka hapo sina comment[emoji41][emoji41]
 
Kilichodharauliwa apa ni ujasiriamali wala sio mtu ikiwa ujasiriamali ndio njia kuu yakufanikiwa sasaivi muandika mada yuko radhi kuwa na mtu anyelipwa 300,000/= kwa mwezi ila anafanya kazi bank ila hatokuwa tayari kuwa na mtu ambaye ujasiriamali wa kilimo ambaye anaingiza mpaka 24 millions kwa mauzo ,

Ushauri endapo umeandika post hii ukiwa serious au ata kimakuzi inaweza ukisababisha mungu akukasirikie katika hili maana umeandika kama kutokujua kama kuna mungu
 
Ana miaka 24 ndio katoka chuo juzi
Akifikisha miaka 37
Kama sasa hivi muuza kuku hana nyumba basi atakuwa nazo mbili na gari ya kutembelea
Wakati huo sexless
Anatafuta mwanaume yoyote tu hata asiwe na kazi na mfupi kaa joti ili mradi tu aolewe
 
Duh kumbe wafugaji na wakulima ndo mnatudharau hivyo nyie viumbe.ukinicheka shambani nitakucheka sokoni
 
Hata Yule jamaa special mwanamitimdo alikuwa ameajiriwa bot analipwa 150 per day na posho kibao aliacha akahamia kwenye mambo ya kushona
Shukrani, ndiye huyo nilikuwa namzungumzia!

Watu wanaodharau ujasiriamali hawajui faida zake.
Kila kitu ukikifanya kwa dhamira ya kweli huku ukiongozwa na nidhamu basi mafanikio ni lazima!
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Kwa kifupi unapaswa UKATUBU.
 
Sexless, zingatia maoni ya wote waliochangia, yaani umepata laana bila kukusudia. Tambua uamuzi wako haukuwa wa busara. Huyo mwanamme ulishamchagua kwa namna ulivyokuwa naye. Huko kutoka mara kwa mara huwa kunakwisha au kupungua baada ya ndoa na kupata watoto. Ninachokushauri, mtafute huyo bwana kama hukumtolea maneno machafu au hata kama ulimtolea maneno machafu, muombe msamaha na kuendelea nae. Elimu uliyopata imsaidie kusonga mbele zaidi.

Kama inashindikana kabisa basi muombe kuwa marafiki wa kawaida halafu uangalie baada ya miaka mitano atakuwa mtu wa namna gani. Majuto ni mjukuu.
 
Shukrani, ndiye huyo nilikuwa namzungumzia!

Watu wanaodharau ujasiriamali hawajui faida zake.
Kila kitu ukikifanya kwa dhamira ya kweli huku ukiongozwa na nidhamu basi mafanikio ni lazima!
Kweli jamaa kapitia mitihan sema alikuwa strategic Sana kutoka bot enzi za jakaya ukapanga cherehani mbili mtaani sio mchezo ila mpaka sa hivi kufungua ofisi nchi zaid ya saba
 
Back
Top Bottom