Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Mtu mwenyewe unazidiwa maisha na mwewe, mwewe kila siku anakula kuku wewe unacheza na dagaa daily. Unapata fursa ya kula kuku kila siku unaichezea!! Hujui kuwa kilimo na ufugaji vinalipa? Kwa usomi ulionao unatosha kumfanya mumeo afuge kisasa na kupiga hela za kutosha. Ok, tusikupangie tafuta msomi mwenzio
 
Bwana akupe mume wa kufanana na wewe
Ila hujajua tu,hawa wafuga kuku nowdays ni wana maendeleo kuliko hao wavaa suti na peni kweny mfuko wa shati
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Yaani ww akili yako unaijua mwenyewe. Kifupi unafaa kuchezewa mpaka unakufa .
 
kuna neno nimetaka kukurushia we mwanamke mwenzangu ngoja nikae kimya.ila naomba uje iolewe na mlala hoi ambae hata mia kupata ni shida na icho chuo ulichosoma ili uje umtegemee mwanaume ni shidaa tu
 
Msipoolewa mnaanza kulalamika mnarogwa..... UKIPEWA UZURI BILA AKILI ZINAZOUMIA NI SEHEMU ZA S...I
 
Boyaaa ww,mwaka unauanza kwa kuandika upuuzi!!ebhu jisomee uzi ulioandika af uje uniambie kama una akili....mtu kakupenda anajipiga anakutoa out kwa mtaji wa kuku leo unamtukana
 
Hahahahaha
Aina ya wanawake tunaotakiwa kuoa hawa duuuh
 
Back
Top Bottom