Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

mimi naacha kazi za ofisi zinazingua nahamia ufugaji wa kuku asilimia 100% nafugia nje ya mji nishajipanga mazima,.......na sitaki demu anisogelee maana hawa wanakukimbilia wakiona una mapesa kibao
Aisee hongera sana. binafsi niko kwenye mkakati.
 
angekuwa mhaya ngejitambulisha kuwa yeye ni Director of chickens...............
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Pole utapata mvuga bata.
 
Mm nimefanya sana biashara ya kuku, na ilinipa mtaji. Sasa nawapa kazi watu wenye Masters na kuwalipa hela, tena wanashukuru sana.
 
Vema kabisa.Kuliko huyo anayehangaika na kinyesi cha kuku,unaonaje ukaolewe na hao kuku wake, maana wao wanakaa kila aina ya hoteli nzuri? Maana hiyo elimu yako unayoisema,imekuwezesha kutunukiwa certificate ya ujinga na uhuni,akili ni sufuri kabisa.
 
pum**vu Sana wewe,Kuna jamaa anaishi kwa kifiga kuku bagamoyo anakuku 30,000,Ni project kubwa Sana ,kwa siku anakusanya Mayai tray 2000 ,hamna hamna 1800.per day anaingiza Si chini ya milion 13,000,000 kwa mwez Ni milion Kama 400,000,000 ,kwa mwaka zaidi ya bilion 40,hapo trey nimepigia 7000.acha kudharau kazi za watu.mentality yako Ni kuajiliwa Na mtu WA ofisin,wakat Kuna watu wanapiga hela kimya kimya Tu!
 
Kazi ni kazi tu bora mkono uende kinywani. Huyo mbona yuko poa tu.
 
Siku zote ananitoa out, tunaenda viwanja vikali vikali nikajua nimepata bae ambaye ni ofisa. Hee!! Kumbe mfuga kuku!!

Mara kadhaa amekuwa akijieleza kuwa hatokuwa na nafasi siku hii na hii kumbe anaenda kwenye mabanda yake ya kuku.

Tangu anitokee ni miezi 2 na kitu imepita, tulishafika hatua ya kukubaliana kuoana. Lkn muda wote huo nilikuwa sijaenda kwake.

Leo ktk kuupokea mwaka mpya ndiyo nimeenda mpk kwake nikakuta shughuli yake ya kumuingizia kipato ni kufuga kuku

Come on!! Nimekasirika sana. Yaani mm niwe na mume ambaye asubuhi namuandalia chai ili akafagie mabanda ya kuku? Nitaificha wapi sura yangu mbele ya mashosti zangu tuliomaliza nao chuo wakija kunitembelea? Never on earth!

Nataka mume namuandaa anaenda airport kuhudhuria kongamano mikoani ama nchi za watu. Siyo anahangaika na kinyesi cha kuku!

Ameniharibia sikukuu yangu huyu! Ananionaje kwanza mm? Nafaa kuwa mke wa mfuga kuku mm?? Huyo mwalimu tu asitie maguu hapa.
Aghiiiiiiii!!! Sitaki.
Najua unawish kumpata hata huyo mfuga kuku ila cio rahic kma unavyotuzuga....
Ucpokuwa makini mambo yafuatayo hayanabudi kukupata
1;utaishia kuwa single mother kma uzazi upo lakin
2:Utazeekea nyumban kama bado haujajiongeza kujitegemea

Ladies 2018 hebu achem kutuigizia maisha , hiv hyo jeur ya kujifanya unachagua inatokea wap kweli...!
NB:
"Uzuri bila akili sehemu za siri ndizo zitakazo umia"
Happy new Year
 
Back
Top Bottom